LATRA acheni upuuzi huu

LATRA acheni upuuzi huu

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Niende kwenye kero.

Ndani ya siku mbil hizi nimetembelea Bagamoyo. Bunju sokoni yamejaa magari (yamepaki).

Bagamoyo to Mbezi abiria wanateseka, wanapumuliana, wanabanana, wanabahashiana, wanasababishiana hasira na kuchafuana. Kiukweli nilitoa tusi zito sana liwafikie Sumatra.

Wapeni TLB waende mbezi, Hilo linaugumu gani
 
Next time nita drive kuliko kutesek.

Nashauri ukienda bagamoyo chukua hadhari
 
Kumbe unamaanisha LATRA. Nimewaza sana ratra ni kitu gani tena
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ni Mamlaka ya Udhibiti wa Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Bunge namba 3 ya mwaka 2019.

 
Niende kwenye kero.

Ndani ya siku mbil hizi nimetembelea Bagamoyo. Bunju sokoni yamejaa magari (yamepaki).

Bagamoyo to Mbezi abiria wanateseka, wanapumuliana, wanabanana, wanabahashiana, wanasababishiana hasira na kuchafuana. Kiukweli nilitoa tusi zito sana liwafikie Sumatra.
Mbona hujasema "wanajambiana".
 
Mbona hujasema "wanajambiana".
Dada Faiza umenifanya nicheke kwa nguvu.


Kibaya zaidi mule ndani sisi wamama tunakivutio kwa nyuma Sasa wanaume wanafanya Yao.

Unaonakabisa dude limeamshwa, kichwa kinatafuta pakutokea.


Itafikia wkt wanaume wakishuka zipu zimelowa zimelowaa zimelowa zimeliaaaa😛😛😛😛😛😛😛
 
Kawa na stara kidogo sio kama wewe, "wanapumuliana"!
Ujumbe unatakiw aufike kama ilivyo. Kujamba binadam mbona ni kawaid tu, sasa coaster hizo mkishjazana kama dagaa halafu vikwapa, harufu za ngozi za wale wanaojichubuwa, harufu za mawigi yaliyojaa jasho (hayo harufu yake ndiyo kama matapishi), juu yake hapo unakikuta kikaka kimetioka kununuwa samaki bagamoy kinao humohumo wengine wameanza kuharibika wanaowa uvundo. Sasa yanakuja mashuzi mkianza kujambiana, na ushuzi ni kama mikojo, inaambukiza, ukiiisikia tu harufu ya ushuzi na wewe lazima ujambe.


Pole yao sana, hawa latra inabidi watazamwe, ni watesaji kweli. Dah hapo mtu ni heri uunganishe kwa bidabida au vibajaji. Upate hasara lakini uondokane na hicho kikombe cha kufukizwa mashuzi.
 
Umenikumbusha harufu ya dagaa + Makwapa + Mawigi

Kama jna allergy ya harufu ukifikakwako unaumwa bado TB
 
Dada Faiza umenifanya nicheke kwa nguvu.


Kibaya zaidi mule ndani sisi wamama tunakivutio kwa nyuma Sasa wanaume wanafanya Yao.

Unaonakabisa dude limeamshwa, kichwa kinatafuta pakutokea.


Itafikia wkt wanaume wakishuka zipu zimelowa zimelowaa zimelowa zimeliaaaa😛😛😛😛😛😛😛
Poleni sana te sana nimekulewa. Kusudio ndiyo la kucheka kidogo ili hasira zipunguwe.

Hiyo wenyewe sijuwi wanaitaje, "kugandishia". Watakuja kutaboiwa au kutiwa sehemu yake yale ambayo yataanza kutengenezwa mloganzila. Majanga.
 
Dada Faiza umenifanya nicheke kwa nguvu.


Kibaya zaidi mule ndani sisi wamama tunakivutio kwa nyuma Sasa wanaume wanafanya Yao.

Unaonakabisa dude limeamshwa, kichwa kinatafuta pakutokea.


Itafikia wkt wanaume wakishuka zipu zimelowa zimelowaa zimelowa zimeliaaaa😛😛😛😛😛😛😛
Kwa namna moja mnafurahia
 
Back
Top Bottom