LATRA: Anayetuhumiwa kuchukua hela za Madereva Bajaj si Mtumishi wa LATRA ni Afisa wa Halmashauri ya Morogoro

LATRA: Anayetuhumiwa kuchukua hela za Madereva Bajaj si Mtumishi wa LATRA ni Afisa wa Halmashauri ya Morogoro

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamika kuwa kuna Afisa wa LATRA amekuwa akichukua fedha za madereva Bodaboda na Bajaj ili awalipie faini na malipo mengine ikiwemi ya stika, kisha kutofanya hivyo, mamlaka husika imejibu.

Kusoma tuhuma za Afisa huyo bofy hapa ~ Huyu Afisa anaichafua LATRA-Morogoro, anachukua fedha za stika na faini za Madereva Bajaji na kuanza kuwatisha

Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) anasema:

Huyo ambaye ametajwa kwenye tuhuma ni Mfanyakazi wa Kujitolea kutoka Ofisi ya Halmashauri ya Morogoro, siyo Mfanyakazi wa LATRA.

Ipo hivi, LATRA ina mkataba wa maelewano na Halmashauri (MOU), hivyo Halmashauri inatoa Lesini za Pikipiki na Bajaj kwa niaba ya LATRA.

Baada ya kuona hivyo tumeripoti hizo shutuma alizopewa kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro na wao wameahidi kuzifanyia kazi kama kweli anahusika basi hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa Sheria.
Fadhili.jpg

Afisa anayetuhumiwa kuchukua hela za Madereva Bajaj (katikati)
 
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamika kuwa kuna Afisa wa LATRA amekuwa akichukua fedha za madereva Bodaboda na Bajaj ili awalipie faini na malipo mengine ikiwemi ya stika, kisha kutofanya hivyo, mamlaka husika imejibu.

Kusoma tuhuma za Afisa huyo bofy hapa ~ Huyu Afisa anaichafua LATRA-Morogoro, anachukua fedha za stika na faini za Madereva Bajaji na kuanza kuwatisha

Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) anasema:

Huyo ambaye ametajwa kwenye tuhuma ni Mfanyakazi wa Kujitolea kutoka Ofisi ya Halmashauri ya Morogoro, siyo Mfanyakazi wa LATRA.

Ipo hivi, LATRA ina mkataba wa maelewano na Halmashauri (MOU), hivyo Halmashauri inatoa Lesini za Pikipiki na Bajaj kwa niaba ya LATRA.

Baada ya kuona hivyo tumeripoti hizo shutuma alizopewa kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro na wao wameahidi kuzifanyia kazi kama kweli anahusika basi hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa Sheria.
View attachment 3045254
Afisa anayetuhumiwa kuchukua hela za Madereva Bajaj (katikati)
Hee mwanayanga kumbe!
 
Sura tu inaonesha ni tapeli,ila siamini kama hii kazi atakuwa anaifanya mwenyewe,kuna kigogo nyuma ya pazia
 
Kuna kazi kutaka kumpa kishoka ni wewe mwenyewe unajitakia tu hasara,mfano TRA na LATRA ukienda mwenyewe hata kama una deni haukamatwi mambo yote yanaenda kisheria sasa kwanini utake mtu akusaidie?

Tena unapoenda mwenyewe unajitengenezea wigo wa kujuana na watu wa system kesho na keshokutwa ukikwama jambo inakuwa rahisi kusaidika.
 
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamika kuwa kuna Afisa wa LATRA amekuwa akichukua fedha za madereva Bodaboda na Bajaj ili awalipie faini na malipo mengine ikiwemi ya stika, kisha kutofanya hivyo, mamlaka husika imejibu.

Kusoma tuhuma za Afisa huyo bofy hapa ~ Huyu Afisa anaichafua LATRA-Morogoro, anachukua fedha za stika na faini za Madereva Bajaji na kuanza kuwatisha

Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) anasema:

Huyo ambaye ametajwa kwenye tuhuma ni Mfanyakazi wa Kujitolea kutoka Ofisi ya Halmashauri ya Morogoro, siyo Mfanyakazi wa LATRA.

Ipo hivi, LATRA ina mkataba wa maelewano na Halmashauri (MOU), hivyo Halmashauri inatoa Lesini za Pikipiki na Bajaj kwa niaba ya LATRA.

Baada ya kuona hivyo tumeripoti hizo shutuma alizopewa kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Morogoro na wao wameahidi kuzifanyia kazi kama kweli anahusika basi hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa Sheria.
View attachment 3045254
Afisa anayetuhumiwa kuchukua hela za Madereva Bajaj (katikati)
 
Back
Top Bottom