Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 409
- 138
Usafiri wa daladala kwa sisi wakazi wa kigamboni ni kero na shida kubwa.
1. Giza likiingia nauli zinapandishwa juu; Zinakuwa tofauti na zile elekezi za serikali.
2. Jioni daladala zinafanya kazi kwa kujisikia saana. Konda awapakize ama awaache kwanza mgombanie daladala. Kisha akiamua ndo awapeleke ama awaache.
Serikali kupitia LATRA Tafadhari fanyieni kazi hizi kero mbili
1. Giza likiingia nauli zinapandishwa juu; Zinakuwa tofauti na zile elekezi za serikali.
2. Jioni daladala zinafanya kazi kwa kujisikia saana. Konda awapakize ama awaache kwanza mgombanie daladala. Kisha akiamua ndo awapeleke ama awaache.
Serikali kupitia LATRA Tafadhari fanyieni kazi hizi kero mbili