zugimlole
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,078
- 1,352
Ndio hivyo tena
Ili TUFE vizuri kama wanavyotaka ili pia tusahau dipwedi Yao na akili iingie kichwani kwetu
Yaani kula itakua tabu kabisa kwani nyanya Moja tutanunua mia Tano Michele juu kabisa ufike bei ya kilo Moja kama urefu wa mlima Kilimanjaro na unga pia juu kabisa kuzidi mlima Everest
Ili TUFE hata Kwa msongo wa mawazo Kwa sababu tunanachonga sana na ni wajuaji sana
Tukomesheni TUFE tu hata Kwa mshituko wa moyo
EWURA MMEFANYA KAZI YENU VIZURI pongezi kwenu ila nadhani bahasha zilipita Kwa kuwapa wamiliki wa visima kuwa mafuta mnapandisha bei ndio maana jamaa wakaanza kuficha basi ikawa taabu sijui ni wiki mbili zile au Moja tu
Sijui tu yaani kiongozi wetu yupo kweli nikajua Mwijaku ni waziri naona anatoa matamko tu ya mama.
Dp imemficha kiongozi wetu anaogopa hata kuinua mdomo kutuliza Hali yupo kimya nadhani anaogopa kuambiwa analeta mipasho
Kazi ya kutuliza Hali na joto ni ya chawa tu
LATRA FANYENI KAZI YENU wamiliki wa vyombo vya usafiri mnawaumiza mafuta yapo juu na bei zipo palepale anzeni na mabasi ya daladala halafu mabasi ya mkoa malizieni na mwendokasi
LATRA mnasubiri nn?
MASOKO NA MAGENGE YOTE MITAANI hamuoni kinachoendelea hebu tukomesheni Na nyie bei zimepande
NADHARIA ZA KITAA
Ili TUFE vizuri kama wanavyotaka ili pia tusahau dipwedi Yao na akili iingie kichwani kwetu
Yaani kula itakua tabu kabisa kwani nyanya Moja tutanunua mia Tano Michele juu kabisa ufike bei ya kilo Moja kama urefu wa mlima Kilimanjaro na unga pia juu kabisa kuzidi mlima Everest
Ili TUFE hata Kwa msongo wa mawazo Kwa sababu tunanachonga sana na ni wajuaji sana
Tukomesheni TUFE tu hata Kwa mshituko wa moyo
EWURA MMEFANYA KAZI YENU VIZURI pongezi kwenu ila nadhani bahasha zilipita Kwa kuwapa wamiliki wa visima kuwa mafuta mnapandisha bei ndio maana jamaa wakaanza kuficha basi ikawa taabu sijui ni wiki mbili zile au Moja tu
Sijui tu yaani kiongozi wetu yupo kweli nikajua Mwijaku ni waziri naona anatoa matamko tu ya mama.
Dp imemficha kiongozi wetu anaogopa hata kuinua mdomo kutuliza Hali yupo kimya nadhani anaogopa kuambiwa analeta mipasho
Kazi ya kutuliza Hali na joto ni ya chawa tu
LATRA FANYENI KAZI YENU wamiliki wa vyombo vya usafiri mnawaumiza mafuta yapo juu na bei zipo palepale anzeni na mabasi ya daladala halafu mabasi ya mkoa malizieni na mwendokasi
LATRA mnasubiri nn?
MASOKO NA MAGENGE YOTE MITAANI hamuoni kinachoendelea hebu tukomesheni Na nyie bei zimepande
NADHARIA ZA KITAA