LATRA/SUMATRA wanakaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo

LATRA/SUMATRA wanakaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Wakala wa usafiri wa Mchi kavu yaani The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) ilianzishwa na sheria ya bunge t No. 3 of 2019. zamani tukiita SUMATRA.
Gilliard W. Ngewe ndiye mkurugenzi mkuu wa LATRA, na makao makuu yapo
LATRA Head Office,SUMATRA House,
Nkrumah Street , Box 3093,

Phone.:+ 255 22 219 7500/1,

Dar es Salaam, Tanzania.

Kumezuka Tabia ya Maafisa wa LATRA/SUMATRA kukaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo.

Magufuli hajui hili, ila nampenyezea tu, kwamba maafisa wa LATRA wanalala ofisini, hawa maafisa wanachomchonganisha MAGUFULI NA wananchi, tena kwa maksudi ili Magufuli aonekane m'baya.

Daladala za MBAGALA ZAKEM---MIKWAMBE zinapaki uwanja wa Zakem, nauli ya TLB ni 400 na mwanafunzi ni 200 ila wao wamejipandishia kuwa 500 kwa wote na mbaya zaidi njia hiyo ina kituo cha polisi wa barabarani pale njia panda NHC,VIKUNAI,NSSF house wanaita changanyikeni.

Ukilipa nauli na kudai Tiketi hupewi, tena konda anakwambia wanakusaidia tu, wanaweza paki gari, lugha za kashfa, ukisema unaenda polisi wanakwambia hao ndio wenye hizo daladala.

IGP naomba ubadili Polisi wa hicho kituo, Waziri naomba uondoe mkurugenzi wa LATRA , au kama ni Rais ndio kamteua amtoe kwa kutotimiza wqjibu wake na kum-sabotage kipindi hiki cha kampeni, just fikiria CHADEMA wakitumia hii kitu kwenye kampeni, udiwani tu, lazma ashinde maana watasema watahakikisha nauli inakuwa 400 na gari zimeandikwa 400, ila hawatoi ticket.


MBAGALA ---kilwa road----STESHENI
Haya magari nimengi sana, na watu ni wengi ila Mengi wakati wa asubuhi yanakodishwa kubeba wanafunzi na wakati wa jioni wanabeba wanafunzi jambo ambalo kunakuwa na upungufu mkubwa sana wa daldala.
Baada ya upungufu huo, Watu binafsi wanapaki pale stesheni na kubeba abiria, mmoja kwa 2000 wakati nauli ni 400 .
Gari hizo ndogo hazina leseni ya akufanya biashara ya usafirishaji, hazijakaguliwa na polisi na sumatra, hiku ni kumhujumu Magufuli na Sirro aonekane hatendi kazi na mbaya zaidi ni MBELE YA KITUO KIKUU CHA POLISI DAR.

POSTA--MR RD ----------SINZA--MAKUMBUSHO.

hawa watu wakifika Posta, wanaema gari inaenda kulala magomeni mapipa, wanachukua abiria wa mapipa tu, gari ikifika mapipa , wanasema wanaishia manzese darajani, wakifika manzese anasema wanaishia Afrika sana, na baadae wanaishi USTAWI WA JAMII, means abiria wa makumbusho kwenda sinza wanapata shida ya usafiri.Na pale Ustawi wa jamii hawa watu wamefanya imekuwa kama kituo rasmi cha daladala ilhali kile ni outbound tu , kushusha na kupakia lakini si kukaa foleni.

ACHENI KUMHUJUMU MAGUFULI, hili jambo RC MPYA atawashughulikia, na hapa si mambo ya uccm, hapana mnamhujumu raisi wa nchi

RAIS MAGUFULI, DG LATRA ndugu Gilleard, Kamishan Usalama Barabarani inaonekana wanakuhujumu, tafadhali fanya kazi yako, najua kutumbua ni dakika tu, wanyonge wanaona kama vile umewatupa.


WhatsApp Image 2020-08-30 at 11.22.24 (1).jpeg
WhatsApp Image 2020-08-30 at 11.22.24.jpeg
WhatsApp Image 2020-08-30 at 11.22.25 (1).jpeg
WhatsApp Image 2020-08-30 at 11.22.25.jpeg
 
Ni maeneo mengi sasa hivi daladala wanajipangia nauli, ukiangalia hata kwenye website yao hawaweki nauli za sehemu wao wamebaki ofisini bora hii mamlaka ifutwe haina mchango wowote kwa sasa
 
Moja ya maamuzi ninayoyakumbuka sana awamu ya tatu, yalikuwa ni ya kuufanya uchumi wa Tanzania kuwa wa uchumi wa soko: daladala ruksa kujipangia nauli; na sheli ruksa kujipangia bei ya mafuta.

Kwenye soko huria, daladala ziachiwe zijipangie nauli kama zamani; kupanda magari ya shilingi 2000 ruksa, kwa vile kila mmoja ni mshindi.
 
Na wale wanaopakia abiria kutoka Ubungo riverside kwenda Mbezi kwa nauli ya Tsh 1,000 /= badala ya 400/= nao wameruhusiwa na LATRA?

Yaani hizo coaster zipo kibao ila hazina leseni ya kubeba abiria kwa njia hiyo lkn cha ajabu wanatoza bila wasiwasi hao mabosi wa LATRA wanatunisha vitambi tu kwa kulala ofisini saa ya kazi huku raia tunaibiwa na hao wenye magari yaani wanakera kwa kweli
 
Na wale wanaopakia abiria kutoka Ubungo riverside kwenda Mbezi kwa nauli ya Tsh 1,000 /= badala ya 400/= nao wameruhusiwa na LATRA?

Yaani hizo coaster zipo kibao ila hazina leseni ya kubeba abiria kwa njia hiyo lkn cha ajabu wanatoza bila wasiwasi hao mabosi wa LATRA wanatunisha vitambi tu kwa kulala ofisini saa ya kazi huku raia tunaibiwa na hao wenye magari yaani wanakera kwa kweli
Kuna watu wengine wanajifanya wanajua sana mambo ya uchumi wa soko huria kumbe hamna kitu kichwani
 
Uchumi wa soko huria upo chini ya usimamizi wa CCM miaka nenda rudi, lkn mpaka leo hali ni mbaya katika nyanja za usafiri bado Kuna giza kubwa hasa kwa mamlaka husika
Kuna watu wengine wanajifanya wanajua sana mambo ya uchumi wa soko huria kumbe hamna kitu kichwani
 
Wakala wa usafiri wa Mchi kavu yaani The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) ilianzishwa na sheria ya bunge t No. 3 of 2019. zamani tukiita SUMATRA.
Gilliard W. Ngewe ndiye mkurugenzi mkuu wa LATRA, na makao makuu yapo
LATRA Head Office,SUMATRA House,
Nkrumah Street , Box 3093,

Phone.:+ 255 22 219 7500/1,

Dar es Salaam, Tanzania.

Kumezuka Tabia ya Maafisa wa LATRA/SUMATRA kukaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo.

Magufuli hajui hili, ila nampenyezea tu, kwamba mafisa wa LATRA wanalala ofisini, whawa maafisa wanachomchonganisha MAGUFULI NA wananchi, tena kwa maksudi ili Magufuli aonekane m'baya.

Daladala za MBAGALA ZAKEM---MIKWAMBE zinapaki uwanja wa Zakem, nauli ya TLB ni 400 na mwanafunzi ni 200 ila wao wamejipandishia kuwa 500 kwa wote na mbaya zaidi njia hiyo ina kituo cha polisi wa barabarani pale njia panda NHC,VIKUNAI,NSSF house wanaita changanyikeni.

Ukilipa nauli na kudai Tiketi hupewi, tena konda anakwambia wanakusaidia tu, wanaweza paki gari, lugha za kashfa, ukisema unaenda polisi wanakwambia hao ndio wenye hizo daladala.

IGP naomba ubadili Polisi wa hicho kituo, Waziri naomba uondoe mkurugenzi wa LATRA , au kama ni Rais ndio kamteua amtoe kwa kutotimiza wqjibu wake na kum-sabotage kipindi hiki cha kampeni, just fikiria CHADEMA wakitumia hii kitu kwenye kampeni, udiwani tu, lazma ashinde maana watasema watahakikisha nauli inakuwa 400 na gari zimeandikwa 400, ila hawatoi ticket.


MBAGALA ---kilwa road----STESHENI
Haya magari nimengi sana, na watu ni wengi ila Mengi wakati wa asubuhi yanakodishwa kubeba wanafunzi na wakati wa jioni wanabeba wanafunzi jambo ambalo kunakuwa na upungufu mkubwa sana wa daldala.
Baada ya upungufu huo, Watu binafsi wanapaki pale stesheni na kubeba abiria, mmoja kwa 2000 wakati nauli ni 400 .
Gari hizo ndogo hazina leseni ya akufanya biashara ya usafirishaji, hazijakaguliwa na polisi na sumatra, hiku ni kumhujumu Magufuli na Sirro aonekane hatendi kazi na mbaya zaidi ni MBELE YA KITUO KIKUU CHA POLISI DAR.

POSTA--MR RD ----------SINZA--MAKUMBUSHO.

hawa watu wakifika Posta, wanaema gari inaenda kulala magomeni mapipa, wanachukua abiria wa mapipa tu, gari ikifika mapipa , wanasema wanaishia manzese darajani, wakifika manzese anasema wanaishia Afrika sana, na baadae wanaishi USTAWI WA JAMII, means abiria wa makumbusho kwenda sinza wanapata shida ya usafiri.Na pale Ustawi wa jamii hawa watu wamefanya imekuwa kama kituo rasmi cha daladala ilhali kile ni outbound tu , kushusha na kupakia lakini si kukaa foleni.

ACHENI KUMHUJUMU MAGUFULI, hili jambo RC MPYA atawashughulikia, na hapa si mambo ya uccm, hapana mnamhujumu raisi wa nchi

View attachment 1552930View attachment 1552931View attachment 1552932View attachment 1552933
Asante kwa kutujulisha mkuu katika siku mbili hizi utaona mabadiriko!!
 
Wakala wa usafiri wa Mchi kavu yaani The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) ilianzishwa na sheria ya bunge t No. 3 of 2019. zamani tukiita SUMATRA.
Gilliard W. Ngewe ndiye mkurugenzi mkuu wa LATRA, na makao makuu yapo
LATRA Head Office,SUMATRA House,
Nkrumah Street , Box 3093,

Phone.:+ 255 22 219 7500/1,

Dar es Salaam, Tanzania.

Kumezuka Tabia ya Maafisa wa LATRA/SUMATRA kukaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo.

Magufuli hajui hili, ila nampenyezea tu, kwamba mafisa wa LATRA wanalala ofisini, whawa maafisa wanachomchonganisha MAGUFULI NA wananchi, tena kwa maksudi ili Magufuli aonekane m'baya.

Daladala za MBAGALA ZAKEM---MIKWAMBE zinapaki uwanja wa Zakem, nauli ya TLB ni 400 na mwanafunzi ni 200 ila wao wamejipandishia kuwa 500 kwa wote na mbaya zaidi njia hiyo ina kituo cha polisi wa barabarani pale njia panda NHC,VIKUNAI,NSSF house wanaita changanyikeni.

Ukilipa nauli na kudai Tiketi hupewi, tena konda anakwambia wanakusaidia tu, wanaweza paki gari, lugha za kashfa, ukisema unaenda polisi wanakwambia hao ndio wenye hizo daladala.

IGP naomba ubadili Polisi wa hicho kituo, Waziri naomba uondoe mkurugenzi wa LATRA , au kama ni Rais ndio kamteua amtoe kwa kutotimiza wqjibu wake na kum-sabotage kipindi hiki cha kampeni, just fikiria CHADEMA wakitumia hii kitu kwenye kampeni, udiwani tu, lazma ashinde maana watasema watahakikisha nauli inakuwa 400 na gari zimeandikwa 400, ila hawatoi ticket.


MBAGALA ---kilwa road----STESHENI
Haya magari nimengi sana, na watu ni wengi ila Mengi wakati wa asubuhi yanakodishwa kubeba wanafunzi na wakati wa jioni wanabeba wanafunzi jambo ambalo kunakuwa na upungufu mkubwa sana wa daldala.
Baada ya upungufu huo, Watu binafsi wanapaki pale stesheni na kubeba abiria, mmoja kwa 2000 wakati nauli ni 400 .
Gari hizo ndogo hazina leseni ya akufanya biashara ya usafirishaji, hazijakaguliwa na polisi na sumatra, hiku ni kumhujumu Magufuli na Sirro aonekane hatendi kazi na mbaya zaidi ni MBELE YA KITUO KIKUU CHA POLISI DAR.

POSTA--MR RD ----------SINZA--MAKUMBUSHO.

hawa watu wakifika Posta, wanaema gari inaenda kulala magomeni mapipa, wanachukua abiria wa mapipa tu, gari ikifika mapipa , wanasema wanaishia manzese darajani, wakifika manzese anasema wanaishia Afrika sana, na baadae wanaishi USTAWI WA JAMII, means abiria wa makumbusho kwenda sinza wanapata shida ya usafiri.Na pale Ustawi wa jamii hawa watu wamefanya imekuwa kama kituo rasmi cha daladala ilhali kile ni outbound tu , kushusha na kupakia lakini si kukaa foleni.

ACHENI KUMHUJUMU MAGUFULI, hili jambo RC MPYA atawashughulikia, na hapa si mambo ya uccm, hapana mnamhujumu raisi wa nchi

View attachment 1552930View attachment 1552931View attachment 1552932View attachment 1552933
Mkuu
Umeongea sauti ya wengi sana. Ubarikiwe.

Naongezea nyama. Daladala kutoka Toangoma hadi Kigamboni nauli ni Tshs 600 na barabara ni lami pia siyo mbali kivile.

Huu mchezo wa kuacha daladala wajipangie nauli au LATRA kupandisha nauli bila kuzingatia uchumi wa eneo husika ni uonevu mkubwa.

Pia gari nyingi zinakatisha route ktk peak time.
 
Huku kwetu Mbezi kuna magari ya mbezi mpaka msata, kwa sasa wanafanya ruti za mbezi to Kariakoo kwa sh 1000/ ila tatizo wananyanyasa walimu ambao kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wanapaswa watumie vitambulisho vya kazi, LATRA wasaidieni walimu haya magari yanapaki Msimbazi na wasimamizi wanawalinda kukiuka masharti ya TLB zao
 
Mkuu
Umeongea sauti ya wengi sana. Ubarikiwe.

Naongezea nyama. Daladala kutoka Toangoma hadi Kigamboni nauli ni Tshs 600 na barabara ni lami pia siyo mbali kivile.

Huu mchezo wa kuacha daladala wajipangie nauli au LATRA kupandisha nauli bila kuzingatia uchumi wa eneo husika ni uonevu mkubwa.

Pia gari nyingi zinakatisha route ktk peak time.
Kwakweli, Kutoka Kigamboni/Ferry ikifika saa 12 jioni gari za Tuangoma na Mwandege zinasema zinaishia Kibada, zikifika kibada zinaokota wa Tuangoma, very unfair , huu ni uhujumu uchumi huku kuna polisi wa Kibada na tuangoma, wafanye ukaguzi wa kushtukiza kwa wahusika na kuwapa faini za LATRA na si za polisi maana wamezoea kutoa hizo 30000
 
Huku kwetu Mbezi kuna magari ya mbezi mpaka msata, kwa sasa wanafanya ruti za mbezi to Kariakoo kwa sh 1000/ ila tatizo wananyanyasa walimu ambao kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wanapaswa watumie vitambulisho vya kazi, LATRA wasaidieni walimu haya magari yanapaki Msimbazi na wasimamizi wanawalinda kukiuka masharti ya TLB zao

Kwanza hawana TLB ya kufanya hivyo, pili ilikuwa kipindi cha COVID-19 ndipo RC Dar aliruhusu gari nyingine kufanya route za jijini kwakuwa ilikuwa level seat, sasa naona wamefanya mazoea , RC Mpya wa Dar , naomba uingie kati, shughulikia hili jambo.
Watu wa Mbezi mishahara haijapanda ila nauli imepandishwa na hizi gari za mlandizi /Msata.
 
jaji mfawidhi, Manzese-Mbezi wanatoza elfu moja badala ya 500, Makumbusho-Nyuki 500 badala ya 400

Kwa kilio hiki, naona tuazimie jambo moja "Ama Tuanze kampeni MKURUGENZI LATRA aondolewe, ama IGP Apangue USALAMA BARABARANI kikosi cha DAR, Hasa mabosi ambao wao wanapaswa kuelekeza kazi kwa subordinates wao.
Tuweni na msimamo mmoja.
 
LATRA NI MOJA YA TAASISI ZISOZOENDANA NA KASI YA JPM NCHINI
Gilleard aondoke, maana kwanza alitakiwa kuhamia dodoma ila kabaki Dar pale Samora kwenye ghorofa jipya, lakini pia , anakula upepo tu wa bahari hafanyi kazi yake , Ifike pahala tusioneane aibu.
JPM mimi nipo natoa kilio cha wanyonge, fumua LATRA.
Waziri, LATRA inamchonganisha Jiwe na wananchi.
 
Uchumi wa soko huria upo chini ya usimamizi wa CCM miaka nenda rudi, lkn mpaka leo hali ni mbaya katika nyanja za usafiri bado Kuna giza kubwa hasa kwa mamlaka husika
Hakuna uchumi huria usiosimamiwa nenda kwa nchi ambazo tunaziona waasisi kama uk na usa utaona hayo mambo hata sasa hivi kuna ugomvi wa kibiashara kati ya china na usa pamoja na kuwepo wto na huo uchumi huria unaosema pia hapa kwetu kuna vyombo kama tume ya ushindani, baraza la ushindani na vyama vya walaji ambazo kanuni zao ni kuhakikisha biashara zinafanyika inavyostahili pia kuna regulator kama hizo mamlaka Ewura, latra na nyinginezo
 
Wakala wa usafiri wa Mchi kavu yaani The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) ilianzishwa na sheria ya bunge t No. 3 of 2019. zamani tukiita SUMATRA.
Gilliard W. Ngewe ndiye mkurugenzi mkuu wa LATRA, na makao makuu yapo
LATRA Head Office,SUMATRA House,
Nkrumah Street , Box 3093,

Phone.:+ 255 22 219 7500/1,

Dar es Salaam, Tanzania.

Kumezuka Tabia ya Maafisa wa LATRA/SUMATRA kukaa ofisini na kuacha wamiliki mabasi kujipangia nauli watakavyo.

Magufuli hajui hili, ila nampenyezea tu, kwamba maafisa wa LATRA wanalala ofisini, hawa maafisa wanachomchonganisha MAGUFULI NA wananchi, tena kwa maksudi ili Magufuli aonekane m'baya.

Daladala za MBAGALA ZAKEM---MIKWAMBE zinapaki uwanja wa Zakem, nauli ya TLB ni 400 na mwanafunzi ni 200 ila wao wamejipandishia kuwa 500 kwa wote na mbaya zaidi njia hiyo ina kituo cha polisi wa barabarani pale njia panda NHC,VIKUNAI,NSSF house wanaita changanyikeni.

Ukilipa nauli na kudai Tiketi hupewi, tena konda anakwambia wanakusaidia tu, wanaweza paki gari, lugha za kashfa, ukisema unaenda polisi wanakwambia hao ndio wenye hizo daladala.

IGP naomba ubadili Polisi wa hicho kituo, Waziri naomba uondoe mkurugenzi wa LATRA , au kama ni Rais ndio kamteua amtoe kwa kutotimiza wqjibu wake na kum-sabotage kipindi hiki cha kampeni, just fikiria CHADEMA wakitumia hii kitu kwenye kampeni, udiwani tu, lazma ashinde maana watasema watahakikisha nauli inakuwa 400 na gari zimeandikwa 400, ila hawatoi ticket.


MBAGALA ---kilwa road----STESHENI
Haya magari nimengi sana, na watu ni wengi ila Mengi wakati wa asubuhi yanakodishwa kubeba wanafunzi na wakati wa jioni wanabeba wanafunzi jambo ambalo kunakuwa na upungufu mkubwa sana wa daldala.
Baada ya upungufu huo, Watu binafsi wanapaki pale stesheni na kubeba abiria, mmoja kwa 2000 wakati nauli ni 400 .
Gari hizo ndogo hazina leseni ya akufanya biashara ya usafirishaji, hazijakaguliwa na polisi na sumatra, hiku ni kumhujumu Magufuli na Sirro aonekane hatendi kazi na mbaya zaidi ni MBELE YA KITUO KIKUU CHA POLISI DAR.

POSTA--MR RD ----------SINZA--MAKUMBUSHO.

hawa watu wakifika Posta, wanaema gari inaenda kulala magomeni mapipa, wanachukua abiria wa mapipa tu, gari ikifika mapipa , wanasema wanaishia manzese darajani, wakifika manzese anasema wanaishia Afrika sana, na baadae wanaishi USTAWI WA JAMII, means abiria wa makumbusho kwenda sinza wanapata shida ya usafiri.Na pale Ustawi wa jamii hawa watu wamefanya imekuwa kama kituo rasmi cha daladala ilhali kile ni outbound tu , kushusha na kupakia lakini si kukaa foleni.

ACHENI KUMHUJUMU MAGUFULI, hili jambo RC MPYA atawashughulikia, na hapa si mambo ya uccm, hapana mnamhujumu raisi wa nchi

RAIS MAGUFULI, DG LATRA ndugu Gilleard, Kamishan Usalama Barabarani inaonekana wanakuhujumu, tafadhali fanya kazi yako, najua kutumbua ni dakika tu, wanyonge wanaona kama vile umewatupa.


View attachment 1552930View attachment 1552931View attachment 1552932View attachment 1552933
Idara hii aliiiweza Mwaibula
 

Kwa kilio hiki, naona tuazimie jambo moja "Ama Tuanze kampeni MKURUGENZI LATRA aondolewe, ama IGP Apangue USALAMA BARABARANI kikosi cha DAR, Hasa mabosi ambao wao wanapaswa kuelekeza kazi kwa subordinates wao.
Tuweni na msimamo mmoja.

Your Lady, I second you Judge In-charge
 
Back
Top Bottom