Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.
Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.
Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.
LATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.
Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.
LATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.