KERO LATRA tumsaidie hili la Daladala kukatisha ruti Mbeya

KERO LATRA tumsaidie hili la Daladala kukatisha ruti Mbeya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.

Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.

Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.

LATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
WhatsApp Image 2024-11-07 at 13.28.14_73ab5386.jpg

WhatsApp Image 2024-11-07 at 13.28.14_2928f3d7.jpg

WhatsApp Image 2024-11-07 at 13.28.15_4a108e38.jpg

WhatsApp Image 2024-11-07 at 13.28.16_ca6f213a.jpg
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.

Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.

Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.

SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Siku hizi hakuna SUMATRA Kuna LATRA mkuu
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.

Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.

Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.

SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Ughwe! SUMATRA ili ku Indonesya kwa Kanji Laliji.
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.

Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.

Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.

SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Ni Sumatra au Latra?

Unajua tz kuna organs nyingi sana na zingine hazijulikani ni za kazi gani.
 
Kwahiyo unataka ikiwa na mtu mmoja ipoteze mafuta kutoka kabwe hadi uyole
ACHA UFALA
 
Back
Top Bottom