Siku hizi hakuna SUMATRA Kuna LATRA mkuuMamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.
Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.
Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.
SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Ughwe! SUMATRA ili ku Indonesya kwa Kanji Laliji.Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.
Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.
Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.
SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Ni Sumatra au Latra?Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) tunaomba mtusaidie katika hili maana sasa imekuwa mazoea Kwa madereva daladala.
Daladala za Nsalaga kwenda Stand kuu zimekuwa zinakatisha ruti kwa kuishia Mwanjelwa badala ya kufika Stand Kuu.
Ukiachana na hizo daladala za Nsalaga Kuna hizi za kutoka Mbalizi kwenda Uyole nazo mwendo ni uleule zenyewe zinaishia Kabwe hazifiki Uyole.
SUMATRA tunaomba liangalieni hili maana hii imekuwa kero kubwa sana kwa sisi Wananchi, utaratibu huu unaharibu sana ratiba zetu na ni usumbufu mkubwa.
Au cio MwanongwaKama Hana mafuta anatafuta nn Kwa road