johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mamlaka ya usafiri ardhini LATRA imekanusha kuanzisha tozo kwa magari madogo ya kubeba maiti.
Mkurugenzi wa usafirishaji Kahatano amesema Serikali haijawahi kufikiria kuanzisha tozo ya namna hiyo bali mabasi madogo yanayokodishwa ndio yatatozwa tozo.
Mabasi madogo yenye uwezo wa kubeba abiria 14 hadi 30 ndio walengwa kwa sasa.
Chanzo: ITV habari
Pia soma > Magari yote ya kubeba maiti yatakiwa kulipa Tsh milioni
Maendeleo hayana vyama!
Mkurugenzi wa usafirishaji Kahatano amesema Serikali haijawahi kufikiria kuanzisha tozo ya namna hiyo bali mabasi madogo yanayokodishwa ndio yatatozwa tozo.
Mabasi madogo yenye uwezo wa kubeba abiria 14 hadi 30 ndio walengwa kwa sasa.
Chanzo: ITV habari
Pia soma > Magari yote ya kubeba maiti yatakiwa kulipa Tsh milioni
Maendeleo hayana vyama!