LATRA yalaumiwa na wanyonge wa Mbagala

LATRA yalaumiwa na wanyonge wa Mbagala

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Katika hali isiyo ya kawaida, mabasi/ daladala zenye TLB inayotolewa na LATRA Mbaga mpaka GEREZANI/ Kariakoo imekuwa shamba la bibi.

Kutoka kituo cha Kariakoo, Gerezani mpaka makao makuu ya LATRA ni kilometa 2 tu lakini Daladala zikifika kariakoo siti za kukaa ni shilingi 1000 na kusimama ni 500, na wana-create artificial scarcity ya daldala aili wapandishe nauli.

Hili jambo wanyonge wa mbagala ni kama wamesha kubaliana nalo, MKURUGENZI wa LATRA asilaumiwe, huenda kuna afisa wake anayesimamia haya mambo lakini hatoi ripoti, TRAFIKI WANAFAHAMU, labda hawana zana za kazi wasilaumiwe, wananchi wanafahamu, labda wakilalamika wanaambiwa watembee kwa miguu.

MAMA SAMIA ni mpole sana lakini mambo yake kimya kimya mno, angalia ametumbua meneja wa TPA, bandari, sasa nina wasiwasi huyu wa LATRA yasimfike, asitumbuliwe ila tunasema tu yasimfike.

Wakazi wa Kigamboni ikifika saa 10 jioni wakati wa peak hours nao gari za mwandege, Tuoangoma, Kisemvule zinapandisha nauli.

Gari za Mgagala Kigamboni ikifika jioni zinaishia Mji mwema kwenye mataa pale sheli, hazifiki Ferry na latra wapo tu, haya yote yanafanyka huku MAMA SAMIA Akinyimwa taarifa, mama kama mama ana mkuu wa wilaya Temeke JOKATE, ana mkuu wa Kigamboni, kuna LATRA NA TRAFFICK wa wilaya zote , labda hawajawezeshwa usafiri na fungu la kufuatilia haya, sisi tunawasaidia.


MWISHO KABISA: Wananchi wanauliza, daldala kila asubuhi husimamishwa na kundi la traffick sehemu mbalimbali, kondakta anapitiliza, anashuka anaenda nyuma ya gari, watu wanauliza, hizo gari huwa zinakaguliwa nyuma tu?
 
Katika hali isiyo ya kawaida, mabasi/ daladala zenye TLB inayotolewa na LATRA Mbaga mpaka GEREZANI/ Kariakoo imekuwa shamba la bibi.
Kutoka kituo cha Kariakoo, Gerezani mpaka makao makuu ya LATRA ni kilometa 2 tu lakini Daladala zikifika kariakoo siti za kukaa ni shilingi 1000 na kusimama ni 500, na wana-create artificial scarcity ya daldala aili wapandishe nauli.
Hili jambo wanyonge wa mbagala ni kama wamesha kubaliana nalo, MKURUGENZI wa LATRA asilaumiwe, huenda kuna afisa wake anayesimamia haya mambo lakini hatoi ripoti, TRAFIKI WANAFAHAMU, labda hawana zana za kazi wasilaumiwe, wananchi wanafahamu, labda wakilalamika wanaambiwa watembee kwa miguu.

MAMA SAMIA ni mpole sana lakini mambo yake kimya kimya mno, angalia ametumbua meneja wa TPA, bandari, sasa nina wasiwasi huyu wa LATRA yasimfike, asitumbuliwe ila tunasema tu yasimfike.
Wakazi wa Kigamboni ikifika saa 10 jioni wakati wa peak hours nao gari za mwandege, Tuoangoma, Kisemvule zinapandisha nauli.
Gari za Mgagala Kigamboni ikifika jioni zinaishia Mji mwema kwenye mataa pale sheli, hazifiki FErry na latra wapo tu, haya yote yanafanyka huku MAMA SAMIA Akinyimwa taarifa, mama kama mama ana mkuu wa wilaya Temeke JOKATE, ana mkuu wa Kigamboni, kuna LATRA NA TRAFFICK wa wilaya zote , labda hawajawezeshwa usafiri na fungu la kufuatilia haya, sisi tunawasaidia.


MWISHO KABISA: Wananchi wanauliza, daldala kila asubuhi husimamishwa na kundi la traffick sehemu mbalimbali, kondakta anapitiliza, anashuka anaenda nyuma ya gari, watu wanauliza, hizo gari huwa zinakaguliwa nyuma tu?
Unamjua mmiliki wa daladala
Kuna daladala ukipanda trafiki akisimamisha konda anataja jina la kiongozi tu anapita kwa dharau
 
Latra wafatilie ili swala ikiwezekana waweke sticka za umbali wa vituo vikuu vya daladala kwa kila daladala maana makonda wengi wanatumia mwanya huo kuhujumu abiria na kuwachukulia nauli kubwa.

Mfano ukitoka makumbusho kwenda goba. Nauli ya shillingi 500 inaishia shule ukishuka kituo cha mbele yake ambapo ata km 16 hazijafika unatozwa 600. Wakati hazijazidi ata km 10
 
Sasa hivi watu waliopewa dhamana na mamlaka hawafanyi kazi. Hamna wa kumlalamikia. Nakumbuka nilikuwa nasafiri kwenda tanga pale mbezi, tulikata ticket bus ambalo lilikuwa bovu. Mda wa kuondoka ndio wakaanza kutengeneza basi. Tuliomba turudushiwe hela zetu, konda akasema harudishi na akatuonyesha traffic na kibanda cha LATRA tukashitaki kama tukitaka. Kama tunasubiri watunishi wafanye kazi kutoka moyoni bila ya kusukumwa kama SSH alivyosema, basi haitotokea moaka dunia itaisha. Hali sio nzuri kwa kweli
 
Katika hali isiyo ya kawaida, mabasi/ daladala zenye TLB inayotolewa na LATRA Mbaga mpaka GEREZANI/ Kariakoo imekuwa shamba la bibi.

Kutoka kituo cha Kariakoo, Gerezani mpaka makao makuu ya LATRA ni kilometa 2 tu lakini Daladala zikifika kariakoo siti za kukaa ni shilingi 1000 na kusimama ni 500, na wana-create artificial scarcity ya daldala aili wapandishe nauli.

Hili jambo wanyonge wa mbagala ni kama wamesha kubaliana nalo, MKURUGENZI wa LATRA asilaumiwe, huenda kuna afisa wake anayesimamia haya mambo lakini hatoi ripoti, TRAFIKI WANAFAHAMU, labda hawana zana za kazi wasilaumiwe, wananchi wanafahamu, labda wakilalamika wanaambiwa watembee kwa miguu.

MAMA SAMIA ni mpole sana lakini mambo yake kimya kimya mno, angalia ametumbua meneja wa TPA, bandari, sasa nina wasiwasi huyu wa LATRA yasimfike, asitumbuliwe ila tunasema tu yasimfike.

Wakazi wa Kigamboni ikifika saa 10 jioni wakati wa peak hours nao gari za mwandege, Tuoangoma, Kisemvule zinapandisha nauli.

Gari za Mgagala Kigamboni ikifika jioni zinaishia Mji mwema kwenye mataa pale sheli, hazifiki Ferry na latra wapo tu, haya yote yanafanyka huku MAMA SAMIA Akinyimwa taarifa, mama kama mama ana mkuu wa wilaya Temeke JOKATE, ana mkuu wa Kigamboni, kuna LATRA NA TRAFFICK wa wilaya zote , labda hawajawezeshwa usafiri na fungu la kufuatilia haya, sisi tunawasaidia.


MWISHO KABISA: Wananchi wanauliza, daldala kila asubuhi husimamishwa na kundi la traffick sehemu mbalimbali, kondakta anapitiliza, anashuka anaenda nyuma ya gari, watu wanauliza, hizo gari huwa zinakaguliwa nyuma tu?
Kuna maeneo ni kama Traffic wameshafanya mashamba yao, madereva wote wanajua na wanashirikiana. Asubuhi kila gari inayosimamishwa konda kupitiliza huwa anapeleka 2000 kwa traffic, hapo hasumbuliwi siku nzima, na hii kwa hivi sasa ni kwa route naweza kusema zote zinazoanzia kati ya mji kuelekea nje ya mji. Muda mwingine ni jioni pia. Utakuta kuna sehemu foleni imebana magari hayatembei kumbe kuna trafic ndio muda wake wa kukusanya mapato yake.
Hiyo ya baadhi ya route magari kupanda bei kuna watu wanapaswa kuwajibishwa.
 
Hii tangu kitambo, Makonda na madereva wao hufanya uhuni jioni na asubuhi.
Yaani hawaogopi chochote, wakikaribia kituo kikuu cha mwisho wanapark gari na kuanza kuchukua nauli ya nenda rudi.
Ni vituo vingi tu vya daladala hutokea hivyo.
 
Latra wamefeli sasa hivi makonda wanajipangia nauli, latra wanashindwa hata kuweka nauli kwenye website. Pia wanashindwa kuwalizimisha wenye mabasi kuweka chart ya nauli kwenye mabasi
 
Kuna maeneo ni kama Traffic wameshafanya mashamba yao, madereva wote wanajua na wanashirikiana. Asubuhi kila gari inayosimamishwa konda kupitiliza huwa anapeleka 2000 kwa traffic, hapo hasumbuliwi siku nzima, na hii kwa hivi sasa ni kwa route naweza kusema zote zinazoanzia kati ya mji kuelekea nje ya mji. Muda mwingine ni jioni pia. Utakuta kuna sehemu foleni imebana magari hayatembei kumbe kuna trafic ndio muda wake wa kukusanya mapato yake.
Hiyo ya baadhi ya route magari kupanda bei kuna watu wanapaswa kuwajibishwa.
sasa mkuu wa Traffick Dar hili jambo hajui?
 
Hii tangu kitambo, Makonda na madereva wao hufanya uhuni jioni na asubuhi.
Yaani hawaogopi chochote, wakikaribia kituo kikuu cha mwisho wanapark gari na kuanza kuchukua nauli ya nenda rudi.
Ni vituo vingi tu vya daladala hutokea hivyo.
inasikitisha sana
 
Mnyonge sio sifa ni ujinga na udhaifu, na hata Biblia imesema hakuna kinyonge kitachoingia mbinguni
 
LATRA Kashamaliza muda wake wewe kateuliw mpya fuatilia leo utaona yule kastaafu tayar yuko habibu suluo ila hajaanza kazi natumai atalishughulikia
 
Mnyonge sio sifa ni ujinga na udhaifu, na hata Biblia imesema hakuna kinyonge kitachoingia mbinguni
Kwenye hii mada yote kilichokugusa ni hilo neno unyonge? Unataka kuficha umaskini uliopo Tanzania?
 
Katika hali isiyo ya kawaida, mabasi/ daladala zenye TLB inayotolewa na LATRA Mbaga mpaka GEREZANI/ Kariakoo imekuwa shamba la bibi.

Kutoka kituo cha Kariakoo, Gerezani mpaka makao makuu ya LATRA ni kilometa 2 tu lakini Daladala zikifika kariakoo siti za kukaa ni shilingi 1000 na kusimama ni 500, na wana-create artificial scarcity ya daldala aili wapandishe nauli.

Hili jambo wanyonge wa mbagala ni kama wamesha kubaliana nalo, MKURUGENZI wa LATRA asilaumiwe, huenda kuna afisa wake anayesimamia haya mambo lakini hatoi ripoti, TRAFIKI WANAFAHAMU, labda hawana zana za kazi wasilaumiwe, wananchi wanafahamu, labda wakilalamika wanaambiwa watembee kwa miguu.

MAMA SAMIA ni mpole sana lakini mambo yake kimya kimya mno, angalia ametumbua meneja wa TPA, bandari, sasa nina wasiwasi huyu wa LATRA yasimfike, asitumbuliwe ila tunasema tu yasimfike.

Wakazi wa Kigamboni ikifika saa 10 jioni wakati wa peak hours nao gari za mwandege, Tuoangoma, Kisemvule zinapandisha nauli.

Gari za Mgagala Kigamboni ikifika jioni zinaishia Mji mwema kwenye mataa pale sheli, hazifiki Ferry na latra wapo tu, haya yote yanafanyka huku MAMA SAMIA Akinyimwa taarifa, mama kama mama ana mkuu wa wilaya Temeke JOKATE, ana mkuu wa Kigamboni, kuna LATRA NA TRAFFICK wa wilaya zote , labda hawajawezeshwa usafiri na fungu la kufuatilia haya, sisi tunawasaidia.


MWISHO KABISA: Wananchi wanauliza, daldala kila asubuhi husimamishwa na kundi la traffick sehemu mbalimbali, kondakta anapitiliza, anashuka anaenda nyuma ya gari, watu wanauliza, hizo gari huwa zinakaguliwa nyuma tu?
Latra utafikiri haipo wananchi wanateseka sana mida ya jioni kwa baadhi ya route
 
Back
Top Bottom