Bha!,
Teheeeeee,
Hako kajamaa kalikozama chini na lensi ambako kamejipumzisha kabisa kwa upande wa "LHD" ka nkumbusha enzi zile ya "chule ya nshingi bwana wewe", kha!, kuwaje hapo tena??..
ilikuwa unazama chini na kioo kuangalia "mistari ya ikweta" inapopita kwa mabinti!, kisha unaandaa "manuscripts" na mkanda wa bure wa kusimulia kwa darasa kuhusu mwonekano wa ndani wa kila aliyefanyiwa utafiti at "at a partiular day"...pengine unakuta binti yu "smart out", BUT inside mmmh,.....kama sio hakuna hata "bahasha/kufuli" kabisa.....