Laughing az at it

Thats a Police case...Kwanini amshike dada wa watu sehemu za siri!...Sisi mapolisi tunaita incidence hiyo kuwa ni "Shambulio la Aibu!...huh!
 
kweli we Mfunyukuzi yaani naanza kukuogopa :becky::becky:
 
Thats a Police case...Kwanini amshike dada wa watu sehemu za siri!...Sisi mapolisi tunaita incidence hiyo kuwa ni "Shambulio la Aibu!...huh!

Hata kama ni mkewe? Maana aliyeshikwa karilaksi mwenyewe, anainjoi.
 
Thats a Police case...Kwanini amshike dada wa watu sehemu za siri!...Sisi mapolisi tunaita incidence hiyo kuwa ni "Shambulio la Aibu!...huh!

Wamekubaliana hao, si unaona dada alivyotulia kama maji mtunguni, tena kaweka mkono kiunoni. ila jamaa utafikiri anafanya maandalizi ya kurekodi pono film.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…