Lavalava ni bonge la msanii sema tu WCB hawampi promo maskini

Lavalava ni bonge la msanii sema tu WCB hawampi promo maskini

Realboynicky

Senior Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
156
Reaction score
296
Japo kuna maneno kwa mwamba mziki umemshinda ukweli ni kwamba lavalava hapewi push kama artist wengine WCB. Kina harmonize,Rayvanny,zuchu,mboso hawa wote wamepewa sana push wametoa nyimbo nyingi lakini pia wamefanya collabo na wasanii wakubwa wa nje. Linapokuja kwa lavalava ni kama anabaniwa kwanza hatoi ngoma nyingi pili hapewi collabo na wasanii wakubwa kimataifa, ndie msanii pekee WCB amabaye bado hajatoa EP. I think kama WCB hawataki kumsupport bora wamruhusu dogo asepe kuna mamanager wengi wanaweza kumchukua na kumsupport akafika anapotaka.

Ngoma za lovebite

Niuwe
Go gaga
Inatosha
Ngaringari
Basi tu
Habibi
Komesha
Nitake nini
Dede
Najidai
Hatuachani
Etc
 
IMG-20230507-WA0001.jpg
 
Shida ni yeye mwenyewe kuwa mvivu Mara ya mwisho lavalava kutoa ngoma ni lini? huwezi ukawa unafanya vizuri kwenye industry ya sasa ukiwa unatoa ngoma 1 kwa mwaka watu wanakusahau wewe angalia wasanii uliowataja Unaweza kukuta kwa mwaka kashaachia nyimbo 6 kwa mwaka na hapo unakuta kuna Ep lakini Lavalava haifanyi hivi bahati nzuri Wasafi hawabanii wasanii wake kwenye uachiagi wa ngoma ndio maana Unaweza kukuta Zuchu na Mbosso wameachia ngoma nyingi kuliko boss wao Diamond yeye Lavalava nini kinamshinda? Realboynicky
 
Shida ni yeye mwenyewe kuwa mvivu Mara ya mwisho lavalava kutoa ngoma ni lini? huwezi ukawa unafanya vizuri kwenye industry ya sasa ukiwa unatoa ngoma 1 kwa mwaka watu wanakusahau wewe angalia wasanii uliowataja Unaweza kukuta kwa mwaka kashaachia nyimbo 6 kwa mwaka na hapo unakuta kuna Ep lakini Lavalava haifanyi hivi bahati nzuri Wasafi hawabanii wasanii wake kwenye uachiagi wa ngoma ndio maana Unaweza kukuta Zuchu na Mbosso wameachia ngoma nyingi kuliko boss wao Diamond yeye Lavalava nini kinamshinda? Realboynicky

Kwani unadhani ni yeye anaamua nyimbo ngapi zitoke management ndo inaamua nyimbo itoke lini sio yeye mzee hata atoe nyimbo kumi management inaweza ikatoa moja tu hapo
 
Kwani unadhani ni yeye anaamua nyimbo ngapi zitoke management ndo inaamua nyimbo itoke lini sio yeye mzee hata atoe nyimbo kumi management inaweza ikatoa moja tu hapo
Mbona Zuchu, Mbosso hata Rayvanny wanatoa ngoma nyingi kwanini sio yeye hata kipindi harmonize yupo Wasafi naye alikuwa anatoa ngoma nyingi kuliko hata Diamond nadhani shida ni yeye nanukuu kauli ya diamond "Tukikutoa kwenye mziki na ukapata umaarufu tuna kuwa hakuna ratiba ya kutoa ngoma ngapi bali wewe ndio utapanga utoe ngapi sisi tutausika tu kwenye kupanga siku ipi nzuri utoe" sasa hapo unamtetea nini Lavalava? Mchawi wa Lavalava ni yeye mwenyewe
 
Mbona Zuchu, Mbosso hata Rayvanny wanatoa ngoma nyingi kwanini sio yeye hata kipindi harmonize yupo Wasafi naye alikuwa anatoa ngoma nyingi kuliko hata Diamond nadhani shida ni yeye nanukuu kauli ya diamond "Tukikutoa kwenye mziki na ukapata umaarufu tuna kuwa hakuna ratiba ya kutoa ngoma ngapi bali wewe ndio utapanga utoe ngapi sisi tutausika tu kwenye kupanga siku ipi nzuri utoe" sasa hapo unamtetea nini Lavalava? Mchawi wa Lavalava ni yeye mwenyewe

Mbona hata akitoa hizo ngoma wenzie hawamsupport kwa kupost kwenye page zao. Kila akitoa ngoma wenzie kimya kama hawazioni kuna kitu
 
Mbona hata akitoa hizo ngoma wenzie hawamsupport kwa kupost kwenye page zao. Kila akitoa ngoma wenzie kimya kama hawazioni kuna kitu
Sio kweli ngoma zake Zimefanya vizuri Sana ukiachana na kuwa ni nzuri ni pamoja na promo ya management yake mfano ngma ya nipo single naenjoy ni hit song mpaka diamond mwenyewe alipost akiwa ana imba, ngoma zake nyingi za Lavalava zimefanya vizuri kuanzia mtaani mpaka kwenye views ni chache tu ndio hazijafanya vizuri sema shida yake kuu ni kutotoa ngoma nyingi kama wenzake wanavyofanya utajitahidi kumtetea lakini utaangukia kwenye hii point ndio kinachomfelisha, wenzake wanaweza wasitoe ngoma lakini utawakuta kwenye kiki ndio maana hawaishi kwenye midomo ya watu lakini yeye vitu vyote hafanyi.
 
Japo kuna maneno kwa mwamba mziki umemshinda ukweli ni kwamba lavalava hapewi push kama artist wengine WCB. Kina harmonize,Rayvanny,zuchu,mboso hawa wote wamepewa sana push wametoa nyimbo nyingi lakini pia wamefanya collabo na wasanii wakubwa wa nje. Linapokuja kwa lavalava ni kama anabaniwa kwanza hatoi ngoma nyingi pili hapewi collabo na wasanii wakubwa kimataifa, ndie msanii pekee WCB amabaye bado hajatoa EP. I think kama WCB hawataki kumsupport bora wamruhusu dogo asepe kuna mamanager wengi wanaweza kumchukua na kumsupport akafika anapotaka.

Ngoma za lovebite

Niuwe
Go gaga
Inatosha
Ngaringari
Basi tu
Habibi
Komesha
Nitake nini
Dede
Najidai
Hatuachani
Etc
Comeback ya lava itakuwa sio poa. Muwe na subra.
 
Kwani unadhani ni yeye anaamua nyimbo ngapi zitoke management ndo inaamua nyimbo itoke lini sio yeye mzee hata atoe nyimbo kumi management inaweza ikatoa moja tu hapo
Unahisi anaishi bure mule wasafi ? wanatumia ela zao halaf wao wabane nyimbo zake zisitoke wakat zikitoka hao management ndo wanapata ugali , muwe mnafikiria ndan ya box
 
Mbona hata akitoa hizo ngoma wenzie hawamsupport kwa kupost kwenye page zao. Kila akitoa ngoma wenzie kimya kama hawazioni kuna kitu
Duh mkuu usifikirie mbali ebu fikiria tu hapo ndan ya box , management ya wasafi inanufaika nini kumtunza mtu halaf wao wenyew wanambania kutoa nyimbo zake
 
Duh mkuu usifikirie mbali ebu fikiria tu hapo ndan ya box , management ya wasafi inanufaika nini kumtunza mtu halaf wao wenyew wanambania kutoa nyimbo zake

Kwahiyo mnataka kusema kwamba ni yeye anatoa nyimbo chache kwamba hana kiu ya mafanikio
 
Kwahiyo mnataka kusema kwamba ni yeye anatoa nyimbo chache kwamba hana kiu ya mafanikio
Ndio uhalisia uko hivyo Wasanii wa Wasafi nyimbo zao zinapofanya vizuri ndipo na management inafaidika ndio maana unakuta wanawekeza pesa nyingi kwa wasanii wao kuanzia videos, kuwa na photographer, bodyguard, dancers lengo kuwa na high standards ya kupata pesa
 
Back
Top Bottom