Law delayed is law denied!

Nakioze

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
329
Reaction score
170
jamani; siku zote tunazungumzia sheria sheria sheria! huyu Nguza Vickings, alias Babu Seya kweli kinachomweka jela ni Sheria au ni kinginecho???
 
jamani; siku zote tunazungumzia sheria sheria sheria! huyu Nguza Vickings, alias Babu Seya kweli kinachomweka jela no Sheria au ni kinginecho???

Correction Sir...Justice delayed is justice denied
 
namkumbuka lecturer wangu wa sheria aliwahi kuniambia kuwa, kuna ukweli kwa mujibu wa sheria na kuna ukweli nje ya sheria. mahakama zote hazijishughulishi na ukweli uliopo kwenye jamii kwa kuwa huo ni ukweli nje ya wigo wa sheria. ukweli kwa mujibu wa sheria unaweza kuthibitishwa au kukanushwa mahakaman, lkn ule ukweli unaozagaa kwenye jamii siyo mara zote unaweza kuuthibitisha au kuukanusha mahakaman.
kama kuna ukweli kwa mujibu wa sheria na mahakama haikuuzingatia huo ukwel, huyo mtu ana nafasi kubwa ya kutoka kwenye rufaa, na kinyume chake.
hivyo basi ukifuatilia mtiririko wa kes ya babu seya na wanae tokea jalada la kisutu mpaka mahakama ya rufaa, utaona unaopatikana mule ni ukweli kwa mujibu wa sheria na ndiyo unaohitajika mahakani, huo mwingine haujathibitika wala kukanushwa mbele ya mahakama.
 

Right on point Mkuu. Hii kesi ya Babu Seya na mwanae watu wanadai wameonewa lakini sijawahi kusikia mtu aliyeleta ushahidi kuthibitisha kuwa wameonewa na nina uhakika hata kama Mahakama ingetoa fursa kwa mwenye ushahidi kupeleka Mahakamani hakuna mtu ambaye angejitokeza. Watu wameng'ang'ania speculations bila ya kuwa na ushahidi wowote.
 
asante sana mkuu kwa mchango wako kwenye hili
 
A thing to note in ur head my friend is that never try to oppose something you don't know in detail.
 
kinacho mweka jela ni utafsiri wa sheria kupitia hakimu aliepitisha sheria hiyo husika no more.
 
Kama unataka kuuliza swali uliza hivi sheria iliyomweka ndani huyo jamaa ilitsgsiriwa vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…