Law Firms za Tanzania

paesulta

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2009
Posts
227
Reaction score
29
naomba kwa aliye na uwezo,atuwekee Law firms za hapa nyumbani,kwa websites zao, tujaribu bahati huko hata kwa kufanya kazi kwa kujitolea ili tupate uzoefu kuliko ilivyo sasa kukaa kitaa tu bure.
 
Wataka kujitolea kwa nafasi gani?
Je ukipata kazi ya Ukarani utakubali kutumwa kufanya filing?
Unajua computer kwa kiasi gani?
 
Wataka kujitolea kwa nafasi gani?
Je ukipata kazi ya Ukarani utakubali kutumwa kufanya filing?
Unajua computer kwa kiasi gani?

samahan hii haikuwa thread yangu but nimekuwa interested, me pia natafuta place ya kujitolea post yeyote computer najua ms word na excel nimemaliza LLB mwaka huu
 
Wataka kujitolea kwa nafasi gani?
Je ukipata kazi ya Ukarani utakubali kutumwa kufanya filing?
Unajua computer kwa kiasi gani?

Ndugu yangu natafuta sehemu ya kujukeep busy,hata ukarani nitafanya,mradi nisikae kitaa siku nzima.Nnajua computer kwa working level,Word,Excel.Nategemea kupata experience flani kutokana na kufanya kazi za kujitolea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…