LAW SCHOOL OF TANZANIA, lini application?

paesulta

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2009
Posts
227
Reaction score
29
Samahani kama naposti kusiko.
Kwa anayejua,je ni lini wanaanzan application kuingia Law School of Tanzania kwa intake ya january 2012? maana website yao hata haina chochote cha kueleweka wala matangazo......
 
Nliona juzi 12 august ilikuwa mwisho ,kwa wanaoanza sept sidhani watapublish kwa sasa mpaka hawa waliomba wachaguliwe!
 
Samahani kama naposti kusiko.
Kwa anayejua,je ni lini wanaanzan application kuingia Law School of Tanzania kwa intake ya january 2012? maana website yao hata haina chochote cha kueleweka wala matangazo......

Website ya wasomi haina chochote cha kueleweka? Kulikoni nyie wasomi wa the world renowned UDSM faculty of law?
 
kwa january vuta subira nazani kwenye kuanzia mwezi wa 10 hivi
Samahani kama naposti kusiko.
Kwa anayejua,je ni lini wanaanzan application kuingia Law School of Tanzania kwa intake ya january 2012? maana website yao hata haina chochote cha kueleweka wala matangazo......
 
Kwani wanachukua watu mara ngapi kwa mwaka?Mi nilidhani intake ni january,na applications ni september ya kila mwaka?
usiniambie kila mwaka wanabadilisha taratibu.........
 
Websites nyingi za umma hawaziupdates, ucje ukarely nazo kabisa na utakuta system admin yupo anakula korosho na soda huku akichati ktk facebook akingoja siku iishe arudi home. Bora wazifute hizi websites
 
yani website haina lolote,mi toka nimeanza kusearch,leo ndio nimeona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…