Lawama kwa Wamasai, Waberbaig na Wakurya: Ukali wote huo walishindwaje kuzuia Wajerumani?

Lawama kwa Wamasai, Waberbaig na Wakurya: Ukali wote huo walishindwaje kuzuia Wajerumani?

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,187
Wakati Wazungu ndo wamemalizia Berlin Conference (1884-85), Mwezi huo wa Februari, Chancellor Otto von Bismarck wa Ujerumani alitangaza barani Ulaya kuwa, Eneo lote ambalo Carl Peters alifanya Mikataba (ya kilaghai) na Chief Mangungo wa Msovero (Morogoro), liko chini ya Himaya (Possession) ya Ujerumani. Maana yake eneo lote kuanzia Morogoro hadi Pwani liliwekwa chini ya Ujerumani, japokuwa Sultan Barghash bin Said alipinga ila alikubali baada ya Wajerumani kupeleka meli ya kivita kumtishia ndipo Waingereza waliingilia kumsaidia na kufikia Anglo-German Agreement ya 1886, iliyompa Sultan Maili 12 za Pwani kutoka Mto Ruvuma hadi Kisimayu (Somalia).
Wajerumani (DOAG) walipoanza kutoza kodi katika maeneo ya Pwani, wafanyabiashara walipinga na kusababisha Vita ya kwanza iliyoongozwa na Abushir Bin Salim (1888-89) huko Pangani. Lakini ilisubiriwa mpaka 1890 wakati Serikali Ujerumani ilipochukua uendeshaji kutoka DOAG na kumteua Gavana Julius von Soden, ndipo mapambano hasa ya interior yalipoanza hasa vita vikali ya Mtwa Mkwawa (Lugalo) mwaka 1891 baada ya Mkwawa kuwataka watoe hongo kwenye Njia ya kwenda mikoa ya ndani. Wajerumani walimshinda mwaka 1894 huko kwenye ngome yake ya Kalenga. Wengine waliopigana kishujaa sana ni: Mtemi Isike wa Unyanyembe 1893 na Mangi Meli wa uchagani. Wengine waliojitahidi ni Wangoni, Wayao (Machemba), Ujiji (Tagaralla), but majority ya Watanzania wali-succumb kwa Wajerumani kutokana na nguvu walizoonyesha kuwa nazo.
Lakini cha ajabu ni kuwa, Wamasai na Waberbaig ndiyo makabila ambayo yamekuwa yakihofiwa sana kwa ukali na ushujaa kuanzia kwa Wasukuma, Wanyilamba, Wanyaturu, Waisanzu, Warangi, Wasandawe, Waalagwa, Wagorowa, Wambulu, Wambugu, Wakaguru, Wanguru, Wazigua, Wasambaa, Wapare, Wachagga hadi kwa Wameru. Lakini hayakufanya chochote cha maana cha kupigana na Wajerumani.
Hao Wakurya, nao ni mashujaa sana kwenye siasa nchini kwa kutoogopa na kujiamini. Nilipokuwa UDSM, nilishangaa kuona aliyeshinda Urais alikuwa Mkurya, kufuatilia nikaambiwa hata wawili waliopita nao walikuwa Wakurya.
Indeed Watanzania wengi wanawaheshimu sana kwa jinsi walivyomlilia sana Nyerere na kulazimisha kutoa Volunteers wa kushiriki Vita ya Kagera 1978-79. Kila Mkoa ulipaswa kutoa askari 2000 but Mkoa wa Mara ulilalamika kuwa, ratio hiyo ni ndogo sana kwao. Kulitokea mgogoro mkubwa juu ya idadi hiyo ndipo walipoingezewa hadi 4,000 though inaonekana walizidi hiyo pia kwani inaelezwa Mikoa mingine hata 1000 hawakufika.
Walikuwa wapi enzi za kunyanyaswa na Wajerumani? Mbona hawakufanya chochote cha maana wasitawaliwe?
 
Hata hivyo, inadaiwa kuwa, kuzuka nchini kwa Ugonjwa unaoshambulia mifugo wa sotoka (Rinderpest) mwishoni mwa 1880s hadi 1890s ndiko kulikodhohofisha Wamasai na kuwasambaratisha kwa kiwango kikubwa.
Kwa kuwa migugo yao mingi ilikufa, walikumbwa na njaa na shida nyingi sana.
Mahangaiko hayo ya Wamasai, yalichochea sana makabila adui zao yanayowazunguka Wamasai hasa Wambulu na Wasukuma na ambao wamekuwa wakiteswa na Wamasai kuwavamia Wamasai na kuwaua kwa urahisi sana. Wamasai wengi walikufa na ndicho kisa cha wengi wao kukimbilia Arumeru kwa wenzao Waarusha na kuwa wakulima. Wengine walienda usukumani.
IMG_5006.jpg
 
Kwa kweli muda huo wakuria hawakua na umoja walikua wanapigana wenye kwa wenye. Laiti wangeungana na pia kuwasirikisha jamii zingine basi wakoloni wangejua hawajui
Wakati Wazungu ndo wamemalizia Berlin Conference (1884-85), Mwezi huo wa Februari, Chancellor Otto von Bismarck wa Ujerumani alitangaza barani Ulaya kuwa, Eneo lote ambalo Carl Peters alifanya Mikataba (ya kilaghai) na Chief Mangungo wa Msovero (Morogoro), liko chini ya Himaya (Possession) ya Ujerumani. Maana yake eneo lote kuanzia Morogoro hadi Pwani liliwekwa chini ya Ujerumani, japokuwa Sultan Barghash bin Said alipinga ila alikubali baada ya Wajerumani kupeleka meli ya kivita kumtishia ndipo Waingereza waliingilia kumsaidia na kufikia Anglo-German Agreement ya 1886, iliyompa Sultan Maili 12 za Pwani kutoka Mto Ruvuma hadi Kisimayu (Somalia).
Wajerumani (DOAG) walipoanza kutoza kodi katika maeneo ya Pwani, wafanyabiashara walipinga na kusababisha Vita ya kwanza iliyoongozwa na Abushir Bin Salim (1888-89) huko Pangani. Lakini ilisubiriwa mpaka 1890 wakati Serikali Ujerumani ilipochukua uendeshaji kutoka DOAG na kumteua Gavana Julius von Soden, ndipo mapambano hasa ya interior yalipoanza hasa vita vikali ya Mtwa Mkwawa (Lugalo) mwaka 1891 baada ya Mkwawa kuwataka watoe hongo kwenye Njia ya kwenda mikoa ya ndani. Wajerumani walimshinda mwaka 1894 huko kwenye ngome yake ya Kalenga. Wengine waliopigana kishujaa sana ni: Mtemi Isike wa Unyanyembe 1893 na Mangi Meli wa uchagani. Wengine waliojitahidi ni Wangoni, Wayao (Machemba), Ujiji (Tagaralla), but majority ya Watanzania wali-succumb kwa Wajerumani kutokana na nguvu walizoonyesha kuwa nazo.
Lakini cha ajabu ni kuwa, Wamasai na Waberbaig ndiyo makabila ambayo yamekuwa yakihofiwa sana kwa ukali na ushujaa kuanzia kwa Wasukuma, Wanyilamba, Wanyaturu, Waisanzu, Warangi, Wasandawe, Waalagwa, Wagorowa, Wambulu, Wambugu, Wakaguru, Wanguru, Wazigua, Wasambaa, Wapare, Wachagga hadi kwa Wameru. Lakini hayakufanya chochote cha maana cha kupigana na Wajerumani.
Hao Wakurya, nao ni mashujaa sana kwenye siasa nchini kwa kutoogopa na kujiamini. Nilipokuwa UDSM, nilishangaa kuona aliyeshinda Urais alikuwa Mkurya, kufuatilia nikaambiwa hata wawili waliopita nao walikuwa Wakurya.
Indeed Watanzania wengi wanawaheshimu sana kwa jinsi walivyomlilia sana Nyerere na kulazimisha kutoa Volunteers wa kushiriki Vita ya Kagera 1978-79. Kila Mkoa ulipaswa kutoa askari 2000 but Mkoa wa Mara ulilalamika kuwa, ratio hiyo ni ndogo sana kwao. Kulitokea mgogoro mkubwa juu ya idadi hiyo ndipo walipoingezewa hadi 4,000 though inaonekana walizidi hiyo pia kwani inaelezwa Mikoa mingine hata 1000 hawakufika.
Walikuwa wapi enzi za kunyanyaswa na Wajerumani? Mbona hawakufanya chochote cha maana wasitawaliwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajerumani hadi wanapigana vita ya kwanza ya dunia kuna maeneo walikuwa hawajaweza kuyatawala/kuyafikia vizuri nayo haswa Mkoa wa Mara, Magharibi mwa Arusha, nk
Wakati Wazungu ndo wamemalizia Berlin Conference (1884-85), Mwezi huo wa Februari, Chancellor Otto von Bismarck wa Ujerumani alitangaza barani Ulaya kuwa, Eneo lote ambalo Carl Peters alifanya Mikataba (ya kilaghai) na Chief Mangungo wa Msovero (Morogoro), liko chini ya Himaya (Possession) ya Ujerumani. Maana yake eneo lote kuanzia Morogoro hadi Pwani liliwekwa chini ya Ujerumani, japokuwa Sultan Barghash bin Said alipinga ila alikubali baada ya Wajerumani kupeleka meli ya kivita kumtishia ndipo Waingereza waliingilia kumsaidia na kufikia Anglo-German Agreement ya 1886, iliyompa Sultan Maili 12 za Pwani kutoka Mto Ruvuma hadi Kisimayu (Somalia).
Wajerumani (DOAG) walipoanza kutoza kodi katika maeneo ya Pwani, wafanyabiashara walipinga na kusababisha Vita ya kwanza iliyoongozwa na Abushir Bin Salim (1888-89) huko Pangani. Lakini ilisubiriwa mpaka 1890 wakati Serikali Ujerumani ilipochukua uendeshaji kutoka DOAG na kumteua Gavana Julius von Soden, ndipo mapambano hasa ya interior yalipoanza hasa vita vikali ya Mtwa Mkwawa (Lugalo) mwaka 1891 baada ya Mkwawa kuwataka watoe hongo kwenye Njia ya kwenda mikoa ya ndani. Wajerumani walimshinda mwaka 1894 huko kwenye ngome yake ya Kalenga. Wengine waliopigana kishujaa sana ni: Mtemi Isike wa Unyanyembe 1893 na Mangi Meli wa uchagani. Wengine waliojitahidi ni Wangoni, Wayao (Machemba), Ujiji (Tagaralla), but majority ya Watanzania wali-succumb kwa Wajerumani kutokana na nguvu walizoonyesha kuwa nazo.
Lakini cha ajabu ni kuwa, Wamasai na Waberbaig ndiyo makabila ambayo yamekuwa yakihofiwa sana kwa ukali na ushujaa kuanzia kwa Wasukuma, Wanyilamba, Wanyaturu, Waisanzu, Warangi, Wasandawe, Waalagwa, Wagorowa, Wambulu, Wambugu, Wakaguru, Wanguru, Wazigua, Wasambaa, Wapare, Wachagga hadi kwa Wameru. Lakini hayakufanya chochote cha maana cha kupigana na Wajerumani.
Hao Wakurya, nao ni mashujaa sana kwenye siasa nchini kwa kutoogopa na kujiamini. Nilipokuwa UDSM, nilishangaa kuona aliyeshinda Urais alikuwa Mkurya, kufuatilia nikaambiwa hata wawili waliopita nao walikuwa Wakurya.
Indeed Watanzania wengi wanawaheshimu sana kwa jinsi walivyomlilia sana Nyerere na kulazimisha kutoa Volunteers wa kushiriki Vita ya Kagera 1978-79. Kila Mkoa ulipaswa kutoa askari 2000 but Mkoa wa Mara ulilalamika kuwa, ratio hiyo ni ndogo sana kwao. Kulitokea mgogoro mkubwa juu ya idadi hiyo ndipo walipoingezewa hadi 4,000 though inaonekana walizidi hiyo pia kwani inaelezwa Mikoa mingine hata 1000 hawakufika.
Walikuwa wapi enzi za kunyanyaswa na Wajerumani? Mbona hawakufanya chochote cha maana wasitawaliwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni wababe kwa wake zao tu!
Wakija huku jijini tunawanunulia baiskeli (Phoenix) wakauze mayai huko mtaani na ole yapasuke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Siku hizi wamasai ndio wanajulikana kwa mambo ya hovyo kabisaa...Kuuza dawa za nguvu za kiume, hivi kwa hali hii ya uchumi kuna mtu anahitaji kugegedana sana zaidi ya kupata fedha ili akagegede kwenye kiyoyozi. Wamasai vadilisheni biashara buana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba tofauti ya LUGALO na KALENGA huko kwa Mtwa Mkwawa
 
Hao ni wababe kwa wake zao tu!
Wakija huku jijini tunawanunulia baiskeli (Phoenix) wakauze mayai huko mtaani na ole yapasuke!
Swala na Avon
Murwa hapo anatamba na paru lake
Huku anagonga bedili kuanzia machimbo hadi K/Koo
Kitunda to K/Koo kwa Mangi

Nakazia uzi
 
Hata hivyo, inadaiwa kuwa, kuzuka nchini kwa Ugonjwa unaoshambulia mifugo wa sotoka (Rinderpest) mwishoni mwa 1880s hadi 1890s ndiko kulikodhohofisha Wamasai na kuwasambaratisha kwa kiwango kikubwa.
Kwa kuwa migugo yao mingi ilikufa, walikumbwa na njaa na shida nyingi sana.
Mahangaiko hayo ya Wamasai, yalichochea sana makabila adui zao yanayowazunguka Wamasai hasa Wambulu na Wasukuma na ambao wamekuwa wakiteswa na Wamasai kuwavamia Wamasai na kuwaua kwa urahisi sana. Wamasai wengi walikufa na ndicho kisa cha wengi wao kukimbilia Arumeru kwa wenzao Waarusha na kuwa wakulima. Wengine walienda usukumani.
View attachment 814511
Umeniwahi Mkuu, hata na Mimi nilitaka kumjibu hivi hivi.

Kipindi hicho ni maarufu sana kwenye jamii za kimasai na wameru na pengine Kwa wachagga japo sina uhakika.

Kwa kimasai kipindi hicho kinajulikana Kwa jina la *Emutai* kipindi hiko robo tatu ya wamasai pamoja na mifugo yao ilikufu, kuna kitabu cha muandishi toka Austria amekielezea Kwa undani zaidi alipo tembelea maasailand.


Pamoja na hayo yote, Wazungu walikuwa wakiwakwepa wamasai.
 
Toka nasoma historia darasan na knye vyanzo vingne vya habr cjawahi kuona wala kuskia kua wakoloni walitawala mikoa ya kanda ya ziwa ukiwemo wa mara huwez anzisha vita na mtu usiemjua na wakat hujui dhumun la vita ni lipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi najibu kifupi tu jamii hiyo hakuna aliyenda utumwani mnisaidie kama kuna masai aliuzwa utumwani au mkurya au mbargaig au wairaq
 
Back
Top Bottom