Jimmy MUsa
JF-Expert Member
- Oct 14, 2020
- 235
- 170
Stress mbaya jamaniUkiogopa sana lawama, hutaishi kuyafurahia maisha yako. Kumbuka, kuishi ni mara moja tu hapa duniani, na kuishi ni lawama. Lawama ni kwa walio hai, sifa ni kwa marehemu.Weekend ya lawama sana hii.