Lawrence Mafuru aibuka kidedea Board Membership CRDB

Hakeem makamba

Senior Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
123
Reaction score
41
Mkurugenzi wa Mtendaji wa zamani wa Benki ya NBC Bw.Lawrence Mafuru ameshinda kwa kura nyingi nafasi ya kuwa mjumbe huru wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Pamoja nae Waziri Mkuu mstaafu Bwana Fredrick Sumaye naye pia alitetea nafasi yake. Source:Habari Mseto Blog
 
hizi nafasi huwa zinatangazwa saa ngapi bila wateja wao kuwa na habari?
 
una uhakika hasomi magazeti? na unajuwa anaishi nchi gani? haya magazeti ya online huwa yanaweka na hayo matangazo ambayo yanakuwa kwenye hardcopy?

Kwahiyo wewe ndio msemaji wake?
 
hivi siku hizi jf ni jukwaa la mashindano au kuhabarishana na kuelimishana?

Swali lako ulivyouliza ni kama unaona nafasi zinatangazwa kwa uficho wakati kama ni mwana hisa ukienda kwenye mikutano yao ndiko wanakotangaziana na mwanahisa yoyote wa crdb anaruhusiwa kuomba nafasi hiyo na kuvhaguliwa na wenzake kwa demokrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…