Lawrence Masha na private DATA zetu

kuna Rafiki yangu kasajili simu kwa kitambulisho feki, maana wale wadada wa makampuni ya simu hawana muda wakukagua wala kuchunguza, wao wanataka photocopy ya kitambulisho bila kuuliza original, na jamaa alifoji ili kukwepa urasimu wa serikali za mitaa, maana hana kazi na line ya simu anaitaka.
 

heheheee he should be very proud as he has just cheated his arses.... kweli ubaya una mwisho
 
Wana JF, Saaalaaam! Zoezi zima linaonyesha dhahiri kuwa uwa tunakurupuka saaana,mfano kuna sehemu hata umeme haupo achilia mbali Photocopy!!!!!!!
 
heheheee he should be very proud as he has just cheated his arses.... kweli ubaya una mwisho
kuna mtu huko juu ameshauri kua ilipasa serikali kuanza na vitambulisho vya mkazi wa Tanzania kabla ya haya, wewe unategemea ninini katika usajili wa mtu hana official ID, labda uwe kwenye ajila rasmi.
kipindi hiki makatibu kata na wenyeviti wa serikali za mikoa wamefaidi sana, maana nasikia kila muhuli TSH 1500/= wakati kufoji kitambulisho imeghalimu chini ya miatano tu, bila nenda rudi nz longolongo zingine.
 

kwa mtazamo wangu tukio hili ni moja ya issues ambazo zimemsukuma mleta mada. kama mtu anaweza kusajili namba leo je tuna uhakika gani kwamba namba ambayo haipo leo haitasajiliwa kesho kwa kutumia data za kughusi zangu au zako na kukutia wewe hatiani? tusichukulie kupotea kwa data kwa maana ya kupotea tu. pia tufikirie atakaye "ziokota" hizo data anaweza kuzifanyia nini!!. yaani sheria zikoje kuhusu hizi data, monitoring process kugundua matumizi mabaya zikoje n.k. Kama mpaka leo serikali kuu unapokea tenda kwa kampuni fake sioni kama registration ya namba itatusaidia sana ktk kupambana na uharifu zaidi ya kuwaingiza raia wa kawaida ktk matatizo ambayo hata hawatakuwa wakiyajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…