Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu kuzindua kampeni zake za urais kwa njia ya mtandao kesho Jumanne jijini Mwanza

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu kuzindua kampeni zake za urais kwa njia ya mtandao kesho Jumanne jijini Mwanza

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea urais mtarajiwa wa Chadema mh Lazaro Nyalandu kesho saa 11.00 jioni atazindua kampeni zake za kutafuta kuteuliwa na chama chake jijini Mwanza.

Nyalandu ataendesha kampeni zake kwa njia ya kidigitali kwahiyo wanachadema wote mnaombwa ushirikiano wenu.

Safari imeanza.

Maendeleo hayana vyama!
 
Twende na Leonard Toja Manyama apeperushe bendela ya Chadema.
 
Mgombea urais mtarajiwa wa Chadema mh Lazaro Nyalandu kesho saa 11.00 jioni atazindua kampeni zake za kutafuta kuteuliwa na chama chake jijini Mwanza.

Nyalandu ataendesha kampeni zake kwa njia ya kidigitali kwahiyo wanachadema wote mnaombwa ushirikiano wenu.

Safari imeanza.

Maendeleo hayana vyama!
Tutamfuatilia, kule CCM Membe Sijui Lini
 
Back
Top Bottom