Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Membe anakuja upinzani baada ya kubwagwa 2015. Watu wa aina hii wakikarihishwa juice za chamwino hawakawii kusujudia minazi ya chamwino
Lazaro Nyalandu anajua nini anafanya na hana papara. CHADEMA kama chama makini naamini Lazaro Nyalandu anaweza kukiweka chama kwenye ramani kuliko huyu aliye katwa mkia
Lazaro Nyalandu anajua nini anafanya na hana papara. CHADEMA kama chama makini naamini Lazaro Nyalandu anaweza kukiweka chama kwenye ramani kuliko huyu aliye katwa mkia