Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Ni kweliInaelekea Ukombozi wa nchi hii utaanzia Singida ..................!!
Nyalando nadhani anaelekea kurukwa na akili.Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu
NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)
[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Huyu nyalando ameanza kujitambuaAnaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu
NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)
[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Ndiyo mfumo wa CCM ulivyoBora iwe hivyo kama kaamua kusimamia haki, uhuru wa kweli na demokrasia ya nchi yetu kuliko kuendelea kuwa mnafiki wa kumuimbia ngojera huyo dikteta uchwara.
Hata mimi nashangaa hilo. Mchakato umefikia kwenye kupiga kura, labda angehamasisha watu ikifika wakati wa kura wapige ya kuikataa huku akiwaleza sababu ya kukataa huko. Au apiganie mchakato mzima ufutwe uanze upya.Nyalando nadhani anaelekea kurukwa na akili.
Mchakato ulifikia hatua ya kupiga kura ya maoni,na waliopitisha kwa wingi ni wao wabunge,simuelewi anavyotaka kurudi reverse,ningemuelewa kama angesema mchakato uanze upya,kisheria tunangoja tu kura ya maoni
Anaandika Mh Mbunge: Lazaro Nyalandu
NAKUSUDIA kuwasilisha kwa SPIKA wa BUNGE, Mh. Job Ndugai, Mb., AZMA yangu ya kuleta MUSWADA binafsi wa SHERIA katika KIKAO kijacho cha BUNGE itakayoweka SHARTI la kurejea UPYA mjadala wa KATIBA MPYA ya Tanzania, kwa KUZINGATIA RASIMU ya KATIBA kama ilivyowasilishwa na TUME ya JAJI WARIOBA. (Lazaro S. Nyalandu, Mb., Singida Kaskazini-CCM).
(Pichani, nikiwa Kijijini Mgori, [HASHTAG]#SingidaKaskazini[/HASHTAG], jana wakati wa hafla ya sherehe za Mahafali ya Kidato cha IV, Sekondari ya Mwanamwema Shain)
[HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Nyalando nadhani anaelekea kurukwa na akili.
Mchakato ulifikia hatua ya kupiga kura ya maoni,na waliopitisha kwa wingi ni wao wabunge,simuelewi anavyotaka kurudi reverse,ningemuelewa kama angesema mchakato uanze upya,kisheria tunangoja tu kura ya maoni
Wanajitambua baada ya maslahi binafsi kupoteaIfikie wakati wabunge wa sisiemu wajitambue sasa.. Wanaona sasa kwamba hata wao hawako salama..
Anajitambua ile ya warioba ndio ilikuwa yenyewe. Yenye mawazo ya watanzania sio maccm. Alafu kingu ameacha imani na kukimbilia unafiki wakati kanisa alilopo linawashep sana waumini yeye anaboa kuliko wabunge wote. Hatari sana. Tunakuombea sana Nyarandu now unajitambua . zaidi nawaombea Nape nauye ,Bashe, wekeni tinted kwenye magari yenu maana maoni yenu haya ni mwiba mkubwa sanaNyalando nadhani anaelekea kurukwa na akili.
Mchakato ulifikia hatua ya kupiga kura ya maoni,na waliopitisha kwa wingi ni wao wabunge,simuelewi anavyotaka kurudi reverse,kisheria tunangoja tu kura ya maoni.
Ni kura ya hapana tu itarudisha upya mchakato,Nyalando usitake kutuharibia nchi kisa tu umenyimwa uwaziri,mbona hukusema haya wakati unauza vitalu