Lazima harusi ndo tuishi pamoja?

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,018
Reaction score
2,130
Nimeulizwa swali hili na mchumba wangu ambae kila kitu tayari ikiwa kupelekana kwa wazazi na mahari tayari. Iii imekaaje jmn!

Nb. Tunabariki tu ndoa kanisani...
 
Labda tuanze kujua hio ''Harusi'' ni nini afu tutatua kama ni muhimu au sio. Ukute kama inajulikana kama sherehe tu haitakuwa na umuhimu wowote. Tuanzie apo..
 
Harusi ukimaanisha ndoa ama? Anaharaka gani? Nakushauri mfunge ndoa kwanza muwe mume na mke kamili mtapata baraka kwa mungu!
 
Mmh, ukiona hivyo jua mwenzio hajafika bei, anafanya tu kama fasheni. Mara nyingi ukifika bei sana unatamani ndoa na huyu mtu, ili awe wako na kiheshima zaidi.

Mie siku hizi nalala kwa mganga ili zombie atangaze ndoa unazani masihara?
 
Mmh, ukiona hivyo jua mwenzio hajafika bei, anafanya tu kama fasheni. Mara nyingi ukifika bei sana unatamani ndoa na huyu mtu, ili awe wako na kiheshima zaidi.

Mie siku hizi nalala kwa mganga ili zombie atangaze ndoa unazani masihara?

hahahaha Kongosho usipoteze muda kwa mganga maana badala ya huyo zombie wako kutangaza ndoa ndo atakutenda hebu geukia pande hii ya Yesu Kristo wa Nazareti nakugarantee ndoa yenye furaha
 
He he, ukiwa kihoro ma masuluhisho yanakuwa ya kihoro vile vile

hahahaha Kongosho usipoteze muda kwa mganga maana badala ya huyo zombie wako kutangaza ndoa ndo atakutenda hebu geukia pande hii ya Yesu Kristo wa Nazareti nakugarantee ndoa yenye furaha
 
Kuna siri iko gizani, tafuta tochi yenye mwanga mkali mapemaaaaaaaa????????????
 
Mmh, ukiona hivyo jua mwenzio hajafika bei, anafanya tu kama fasheni. Mara nyingi ukifika bei sana unatamani ndoa na huyu mtu, ili awe wako na kiheshima zaidi.

Mie siku hizi nalala kwa mganga ili zombie atangaze ndoa unazani masihara?

Kongosho unaniuaaa mie hahhhahha hawa wanaume wetu sijuo mpaka tuwafanyaje maana kwaa akili zao hawawazi kutuoaa, hebu na mie niambie hilo lizombi gani na mie nianze kulala huko ili ndoa itangazwe maana wanaolewaa wengine tu kha!!!hahhhahhhha
 
Mmh, ukiona hivyo jua mwenzio hajafika bei, anafanya tu kama fasheni. Mara nyingi ukifika bei sana unatamani ndoa na huyu mtu, ili awe wako na kiheshima zaidi.

Mie siku hizi nalala kwa mganga ili zombie atangaze ndoa unazani masihara?

Konnie mbona kama huyu anaulizia harusi na sio ndoa?

Kumbuka mahari imeshatolewa isipokuwa kuhalalisha mbele ya kadamnasi ndio bado
 
Hapa mnamchanganya inamaana kunatofauti ya ndoa na harusi......si muuliza swali alitaka kusema ndoa na harusi?
Yes kuna utofauti kati ya harusi na ndoa,harusi inaambatana na sherehe wakati ndoa haina sherehe na siku zote cheti kinatoka cha ndoa sio cha harusi
 
Harusi ya nini zinaongeza gharama ya maisha tu ndoa yatosha hata hivyo cheti kinatoka cha ndoa na siyo cha harusi

mashosti watajuaje bana!!!!!!!!! harusi muhimu tena irushwe kwenye kideo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…