Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kinachoifanya Dunia viumbe hai waezee kuisha ni kuwepo kwa Magnetic field na Ozone layer
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo unaoitwa solar winds, magnetic field inasaidia kudeflect huu upepo unaokuja na miale ya mwanga wa jua. Kama dunia isingekua na magnetic field hakuna kiumbe kingeweza kuishi
Ozone layer
Dunia ina ozone layer ambayo huzalisha oxygen inayotumiwa na viumbe hai, na pia husaidia kupunguza miale ya jua
Artificial magnetic field na Artificial ozone layer
Kunatakiwa itengenezwe hivyo vitu viwili ili maisha yawezekane kwenye sayari nyingine Kama mars
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo unaoitwa solar winds, magnetic field inasaidia kudeflect huu upepo unaokuja na miale ya mwanga wa jua. Kama dunia isingekua na magnetic field hakuna kiumbe kingeweza kuishi
Ozone layer
Dunia ina ozone layer ambayo huzalisha oxygen inayotumiwa na viumbe hai, na pia husaidia kupunguza miale ya jua
Artificial magnetic field na Artificial ozone layer
Kunatakiwa itengenezwe hivyo vitu viwili ili maisha yawezekane kwenye sayari nyingine Kama mars