Lazima mdanganywe?

huo ndo mfumo, mwenyewe nshamfuatiliaga kwa sana tu demu mmoja hivi, akawa ananidengulia, bwana we siku nimeeleza dhamira yangu ya kuoa, nikasikia anasema kweli eee, unamaanishaaaa? unajua nini kilifuata hapo, ni fulu kukumbatiana na mambo mengine ya kishetani, (nimeukoka bowdays) kisa kasikia ndoa, mmmmmhhhh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…