Elections 2010 Lazima upitie CCM?

Jafar

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2006
Posts
1,136
Reaction score
54
Kuna kamtindo kwamba ukitaka Ubunge kwa haraka (chap chap) ni rahisi ukiwa mgombea wa CCM. Hii inaletea hata wale wenye mtizamo tofauti na CCM, huwa wananunua kadi na kutafuta ugombea Ubunge kupitia CCM (hata kama hawakubaliani na mambo mengi ya CCM).

Swali, ni lazima ? na kwa nini tumefika hapa au kizazi hiki hakijiamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…