Lazy time & Unserious

Lazy time & Unserious

90BD4F44-14A1-4BCB-8A4C-3F4F6A1A5893.jpeg
aluu njoo hapa betingo tubeto tunawezo kutusuo ndugo yNgu
 
Mwanaume unakula mkate?![emoji15] yan umeshindwa kula matofari ya kuchoma na maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wifi yako kaniagizia ningefanyaje?

“Mwanaume kukataa chakula cha mwanamke n umama”
 
Wifi gani na umetoka kupiga pul saivi[emoji1787][emoji1787] au wifi wa ndotoni

Sasa si unajua hata simba kula siku anakula nyasi akikosa….si kila siku anakuepo! anaishi kwao[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom