Lazy time & Unserious

Mwanaume unakula mkate?![emoji15] yan umeshindwa kula matofari ya kuchoma na maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wifi yako kaniagizia ningefanyaje?

“Mwanaume kukataa chakula cha mwanamke n umama”
 
Wifi gani na umetoka kupiga pul saivi[emoji1787][emoji1787] au wifi wa ndotoni

Sasa si unajua hata simba kula siku anakula nyasi akikosa….si kila siku anakuepo! anaishi kwao[emoji3][emoji3]
 
Wifi gani na umetoka kupiga pul saivi[emoji1787][emoji1787] au wifi wa ndotoni

au nijiweke hapo [emoji39][emoji39][emoji3059][emoji3059][mention]Winnone [/mention]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…