Sir, there was not a smidgen of backhanded-ness in the compliments given. They were all in sincerity.
My greatest apologies if a whiff of it was detected.
A case of "aquam e pumici nunc postulas".
The apologies are mine I am afraid.
hebu tuondoleeni bangi zenu hapa
Hata kama ya kuhongwa ni yake pia,,,we unaweza ukahongwa hiyo hela na usiitoe vilevile kumlipia mtu.
Utovu naima kwa ahaliyo si tamati ya nadhama kwa hadhira.
Chonjo wajila, afaka fanaka, madaha si karaha, kimelea upingamizi kimbonelea cha wizi, kukosa meno si kukata fizi.
Kiada vipawa shawishi ya shauku, afriti yamkini kukithiri hiana.
hebu tuondoleeni bangi zenu hapa
naona bangi zimekupanda kichwani
Kajala ni mnafiki!! Akiwa kwenye media anasema yaishe ili aonekane si mshari na mtu mwema!! Lakini ukimkuta sehemu za starehe na shosti zake, matusi na kejeli anazoporomosha kuhusu wema huwezi kuamini..
Niliposema funika kombe mwanaharam apite hukujua maana yake? Haya ngoja nikujuze wema hakutoa hiyo hela ya kumkomboa kajala ila wema alisimama kama kivuli tu upo hapo?
Kajala anajua hiyo hela nani kalipa so anajua atendalo sio makusudi.
nasikia zile pesa sio wema alitoa..wema alipewa tu aziwakilishe mahakamani, mtoa pesa yuko na kajala sasa hivi wanakula bata tu.
@ LE MUTUZ SYSTEM LIVE STRAIGHT TALK!!:-
LEO I HAVE TO SAY SOMETHING KUHUSU VITA YA MY TWO SUPER FRIENDS SUPER STAR KAJALA NA WEMA SEPETU.
MIMI NI BAHARIA KWENYE UBAHARIA TUNA RULE NAMBA MOJA NAYO NI WE DO NOT BETRAY OUR FRIENDS NA HASA KAMA AMEKUSAIDIA UKIWA NA MATATIZO, NA BINADAM YOYOTE ULIYEMSAIDIA AKIWA KWENYE MATATIZO MAKUBWA AKAKUGEUKA AKIWA HANA SHIDA TENA SIO MTU WACHANA NAYE NI MSHENZI NA NI MNYAMA, NINASEMA HIVI REGARDLESS YA CHANZO CHA BIFU LAO, I HOLD KAJALA RESPONSIBLE KWA KUENDELEA KWA THIS CHILDISH BIFU DUNIA NZIMA INAJUA KUWA KAMA WEMA SEPETU HAKUMTOLEA ZILE MILLIONI 13 ANGEOZA JELA MPAKA LEO, MIMI NILIFIKIRI KILA KAJALA AKIKUMBUKA THAT ATAMUHESHIMU WEMA NA MAPUNGUFU YAKE HATA YAWE VIPI NA KAMA YAMEZIDI KIPIMO SI UNAMKWEPA TU LAKINI YOU REMAIN FRIENDS!!
- I MEAN THIS ONGOING FEUD INANISIKITISHA SANA KWA SABABU INAKUTOA UTU KAJALA NA KWA SABABU MBILI MUHIMU KWANZA WEWE NI MKUWBA KIUMRI KULIKO WEMA NA PILI AMEKUSAIDIA MAHALI AMBAPO HAKUNA MTU MWINGINE ANGEWEZA KUKUSAIDIA HAO UNAOWARINGIA SASA WALIKUWA WAPI SIKU ILE PALE MAHAKAMANI? I WAS THERE MACHO YALIKUWA YAMEKUTOKA MEKUNDU MACHOZI YANAKUMWAGIKA KAMA MVUA, AKAJA WEMA KUKUOKOA NA SASA NI YALE YALE SHUKRANI YAKO YA PUNDA!! JIRUDI MY SISTER MUOMBE MUNGU WAKO AKUSAIDIE UELEWANE NA WEMA HATA KAMA HAMUWEZI KUWA MARAFIKI LAKINI KUWEPO NA AMANI KATI YENU, MIMI SIMZIMIKII MTU YOYOTE ASIYE NA SHUKRANI NA KWENYE HILI NI WEWE HUNA SHUKRANI, SO BACK OFF!!,
JAMANI JIONI NJEMA!! -LE MUTUZ
NB
KUMBUKA WEWE NI MWANASIASA SASA UNAPOANZA KUHANGAIKA NA HAWA BONGO MOVIE TUNAKUA HATUKUELEWI,KWAKWELI SASA NAWAELEWA WALIOKUNYIMA KURA KILA MAHALI.
hapo tusimlaumu yoyote mnajua chanzo cha ugomvi vzurhp ndio Wema alimtolea m 13 lakn sio kigezo cha kumnyanyasa mwenzake na wanawake wanatofautianaga kitu kidogo sana hadi urafki kuvunjika cha msing wapatane tu hapo lazma kila mtu ana mapungufu yake wapatane yaishe kumlaumu kajala au Wema sidhan kama ni right
Actually huo ndio ushauri aliotoa lemutuz!! Hakuna anayebisha kuwa wema ana mapungufu, alichoshauri lemutuz ni kuwa kama kajala anahisi wema hamtendei haki anapaswa kumuepuka tu lakini sio kwenda kumchafua kwa watu, hivi imagine inafikia kipindi hadi anafungua akaunti feki kwenye mitandao ya kijamii ili kumtukana wema!! Huu ni utahaira
Kama ni kweli Wema hakutoa hizo kajala alikuwa analifahamu hilo, iweje kajala ajiapize kiasi kile kwenye media kuwa atamuheshimu Wema kama mama yake mzazi maisha yake yote (rejea kipindi cha Mkasi - EATV), na akaenda mbali zaidi mpaka akachora tatoo yenye jina la Wema???
Sijui google translate itansaidia.
Afu utakuta wanaongea off topic 😱😱
Namkalibisha le mutuz jukwaa la celebrity hizo ndio habari zetu.
Kuhusu siasa haziwezi hawaachie wenyewe.
Karibu jukwaa la celebrity le mutuz
Afu we chalii uwage basi unawagongea na wenzio like asee, we ni vp Likes given ni 0??
Unaoa lini Lemutuz