Kubwa jinga Le Mutuz hata likienda chooni kujisaidia hujipiga picha , linapenda picha kupita kiasi , miaka 54 bado linakaa Kwa wazazi huku likiendekeza Upambe Kwa Vijana ambao ni wadogo kwake kiumri , mfano Huyo Devis Mosha ni Mdogo kwake lakini akipata nafasi ya kukutana nae lazima aanike picha ! Ni wakati Le Mutuz ufanye mazoezi kupunguza mafuta mwilini Akili zikuludie maana mafuta yamezidi hadi Ubongo wote unaelea juu ya mafuta .
- HAHAHAHA unajua uongo ukirudiwa sana bila kujibiwa unaweza kugeuka kuwa ukweli naomba nikjibu point zako kimsingi na very breifly:-
1. Mimi ni THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK so I make my bread kwa kazi zangu katika Mitandao ya kijamii so sehemu ninaenda kikazi zaidi ndio maana ninapiga picha na kurusha kwenye Social Media pamoja na maelezo, kwa mfano nilipokuwa Lagos majuzi nilikuwa nimepelekwa kikazi na DSTV kuripoti Awards ambazo Lulu na Richie kutoka Tanzania walifanikiwa kupata zawadi hizo, katika siku tatu za kuripoti back I was able to reach viewers 19 Millioni which was a record, otherwise sijawahi kupiga picha na kuzibandika zisizokuwa na mlengo wa my business yaani Social Media.
2. Umri wangu naona mpaka leo unawatesa infact unamtesa hata my ex wife kila wakati anasema umri tofauti, naona wewe leo umeamua ku settle na 54, mara ya mwisho nilikuwa na umri kama wa Pinda hahahaha so nimeshazoea kila siku umri wangu unageuzwa geuzwa ni dalili za mnaonichukia kukosa hoja za msingi za kunichukia hahaha ninakuwa kama Trump yaani the more mnarusha your hate mnazidi kunipaisha juu zaidi hahahahaha and I love it!!
3. Super Bilionea Davis Mosha ni my Business Patner, sikujua kwamba kwenye kutafuta pesa kuna umri ukifikia hutakiwi kutafuta zaidi maana namjua Mzee Mengi toka nikiwa mtoto anatafuta pesa mpaka leo anaendelea kutafuta pesa, kumbe wewe ndiye unayeamua wabongo wakifikia umri kama wangu hawatakiwi kutafuta pesa tena au wakitafuta hawatakiwi kushirikiana na kina Diamond Platznumz maana ni wadogo kwa umri? hahahahahaha sijawahi kusikia this kind of theory isipokuwa utakuwa ni mburulazzz namba moja pole sana!!
4. Kuhusu maisha yangu ni kwamba ninaishi Jamhuri Street downtown ambapo nina 3bedrooms Apartment kwenye Jengo jipya la Palace na ninaishi hapa for the last 3 years, sasa nashangaa habari za kuishi kwa Wazazi zinatokea wapi? hahahaha na besides bado nina Shamba la eka tano na Nyumba kubwa ya vyumba vinne kule Kinyerezi niliyoijenga nikiwa Majuu, na pia hapa mjini ninamiliki kampuni yangu ya Social Media ninatoa ajira kwa Vijana 4 waliomaliza Vyuo Vikuu hapa nyumbani ninategemea kuipanua kampuni yangu by mwisho wa MWaka nitoe angalau ajira 10 zaidi kwenye kampuni yangu, so relax ok!!
- Kwa kumaliza ni kwamba in two days naruka kwenda Nairobi kwa mualiko wa kikazi wa Citizen TV ya Kenya ambayo mimi na Davis Mosha tunatarajiwa kuanza kufanya nao kazi once tukifungua our African Swahili Media Radio & TV by mwisho wa mwezi huu, nikurudi again nitaruka tena kwenda Joe'burg/South Africa again kwa mualiko wa kikazi wa Kampuni ya Pombe kali Glenfiddich Inc., na nikirudi nitaruka tena kwenda Dubai kwa jili ya Official Launch ya Clouds Media Cable Channel. Now hebu think again huyo unayemuongelea ni mimi kweli au somebody else? hahahahaha
- Ni kweli jana nilikwenda Rumande kuwaona Marafiki wangu like Mzee Kitilya na sioi na wengineo, in the process nikakutana na watu wengi sana ninaowafahamu pia nilifuatana na My business Patner Davis Mosha, we were able kutoa misaada mingi kwa watu mbali mbali tunaowafahamu ambao tulikutana nao huko Rumande, sidhani kama kwenda kumtembelea rafiki rumande ni tatizo.
- BY THE WAY KESHO NITAKUWA TIMES FM KUANZIA SAA KUMI NA MBILI ASUBUHI SO STAY TUNED MPAKA SAA TATU, KUONGELEA EVERYTHING SO SIKILIZA U KNOW
le Mutuz