Le Mutuz amuopoa Zari?

Hii kali aisee, kupiga picha na mtu mnadate?
 
Kwa mtindo huu Mabillionea ni wengi sana bongo kumbe
 
Tatizo hunitag binamu maumbea.
He he muyeshimiwa bado kuonana.
Naogopaje sasa

Usitusahau savana na kuku wa kuchomaaa,unamuogopea ninii anakula watuuu
 
Mmh sitaki mimi mapipa, nataka vi portable kama jokate ikizama inaingia yote, sasa mama ake bibi bomba minyama hiyo si nanii yangu itaishia kiunoni, sitaki mie

Hutak mapipa hahhhhhaaa na kweli ukute una kibamiaaa unaishia kwenye kine.... teh
 
Last edited by a moderator:
Usitusahau savana na kuku wa kuchomaaa,unamuogopea ninii anakula watuuu

Akaaa mwenzangu mzee sana kila nkikumbuka ngozi yake ilivyokakamaa naishiwa pozi.
Na hii fursa niikose tu.
 
Akaaa mwenzangu mzee sana kila nkikumbuka ngozi yake ilivyokakamaa naishiwa pozi.
Na hii fursa niikose tu.

Hayaa banaa kupanga ni kuchaguaaa
 
Ubillionia sasa umekosa mwenyewe, huyu omba omba naye ni billionia makuuubwa, Le Mutuz si alikimbia familia yake Ulaya
 
kumbe huyu mtoto wa nje wa malechela ni bilionea.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…