Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
ulienda kuwakilisha au kumsindikiza mjukuu wako lulu?
 
 
- hahahahahahaha kumbe ni mahakamani labda ungewauliza DSTV na Emirates kwa nini wamewaacha mabingwa wako wakanichagua mimi labda ndio utapata jibu au? hahahahahahahah

le Mutuz
teh teh lemutuz wewe ni janja pori tuu but ipo siku mchele na makapi vitajitenga wewe mwenyewe unaelewa...nasikia airtel walikuona ni mbabaishaji hauna la maana wakakupiga chini, also d.r mwaka kakupiga chini... teh teh niendeleeeee...
 
teh teh lemutuz wewe ni janja pori tuu but ipo siku mchele na makapi vitajitenga wewe mwenyewe unaelewa...nasikia airtel walikuona ni mbabaishaji hauna la maana wakakupiga chini, also d.r mwaka kakupiga chini... teh teh niendeleeeee...

-

- Hii ndio ofisi yangu sasa baada ya ukarabati nikiwa Lagos na Dubai, Airtel ulikuwa ni mkataba wa miaka 2 umeisha wameamua kuachana na Social Media, Dr. Mwaka ndio kwanza tumeingia mkataba mpya nimeanza kumtangaza tena jana angalia kwenye my instagram, ni kawaida ya wajinga kuzusha zusha umbeya na majungu kwa watu kama mimi tunaopiga kazi, pole sana I can tell kwamba you are a blogger una wivu chuki na hasira maana una blog haina tangazo hata moja,

- Niulize DSTV na Emirates wamenilipa ngapi safari za Lagos na Dubai, hahahahahahaha pole sana siku utakapojua ukweli kuhusu my business hutalala utalia sana hapa JF

le Mutuz
 
hahahah lemutuz pressure inapanda pressure inashuka tulia bwana mkuuuuu usiogopeee sasa mbona airtel na d.r mwaka wamekupiga chini ..haha mkuu mie sio blogger ni muuza mitumba hapa soko la karume but nipo active sana kwenye social network.. pia sio kweli airtel hawajajitoa kwenye social network mbona millardayo, michuzi, na jamiiforums wanatangaza bado na mikataba inasomeka
 
mama na mwanawe billionaire mdananda lemutuz nyumbani kwao tunduma.
 
mbona hyo ofis n kama pale Lumumba na hayo mabango ya Magu n ya nn??
 
lemutuz aka jibaba.. wanajamiiforums aka great thinkers wanataka uwajuze je hicho cheo cha u-king of all social network ni nani kakupa??je unatambulika kiserikali wewe ndio king??je ni mamlaka ipi inayotambulika kiserikali ilikupa hicho cheo??je walikupa kwa vigezo gan???au ulijipa mwenyewe tuu ... hakuna mtu mwenye ugomvi na wewe ni hoja iliyoletwa na member mwenzetu...please kua straight forward usizunguke zunguke..@lemutuz
 
Am humbled! Am lovit u know!! Kuna mwenye tatizo huko[emoji3] [emoji3]
 
unajua kuna watuu hapa JF wanafurahisha..Ni Ivi Mi personal najua Lemutuzi coz ameishi nyumbaa moja Na Mtoto Wa ma mkubwa yaani mama ake Wa kkambo yule mnyakyusa mama wao akina Ippy mwele mwendwaa..alikuwa kaka Wa Uncle wanguu Mwaipopo Wa Ghana Mbeya so mnaomjua mtajua namuongelea Tully..ambaye alichukuluwa Na shangazi..kwa kifupi mama yangu mkubwa aliolewa Na kaka Wa Mme Wa Malecela...ambaye alizaa hapoo watoto..Me mutuz kwa mama mwingine..point yangu hapa sioo kutaka kuongeaa nisichokijuaa..kama wengine..mnaomsakama huyoo lemutuz..mtasubiri saana Nimeona hapa eti Jamaa hana Ofisi..jamani ebu tuache kuchekesha..Mali tu za Baba Ake wakisema wagawane au alizogawiwa Ni zaidi ya ujuavyo..Mtoto wa aliyewai kuwa waziri Mkuu.Balozi nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza..kada Wa chama karibu Maisha yakee yoote
.msomi aliyebobea mpaka kuwavika kofia Akina Nyerere..iyoo familia Ogopa Saana..Nimesema yasiyohusiana hapa ili kukomesha Udhalilishaji..Eti Hana Ofisi haa Haa ndo maana huwa unasema habishanagi Na Mbululazii...hata asipofanya kazi huyoo sijui ajiite king of All social Network is just doing fun...kama MTU humjuii usimdhalilishe
..you know!!
 
Nani kampa Le Mutuz status ya u-king wa all social media? King gani blog yake imejaa picha za wanawake tu.

Mbona anapenda kujikweza kabla hajakwezwa?


Kubwa j hahahahahahahaa
 
Ndorono
 
mkuu kidogo unatoka nje ya mada, mada inasema je lemutuz ni king of all social media in tanzania kwa kua unamjua tupe jibu je unadhani ni kweli au uongo?????
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…