Franco Zetta
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 1,661
- 843
Nani zaidi ya Mabunga wenzie.Nani kampa Le Mutuz status ya u-king wa all social media? King gani blog yake imejaa picha za wanawake tu.
Mbona anapenda kujikweza kabla hajakwezwa?
Nimemsikia huyu Mzalendo akimlalamikia binti fulani kuwa anamwandama. Ilikuwa mwishoni , hivyo huyo binti sikumsikia jina. Amemsema kuwa anaandika nonsense, tena akakoleza kuwa ana attack serikali na ameachiwa afanye anavyotaka. Anasema ameishi USA miaka 25 na Sweden miaka 5. Amesema ana blog ya MWANANCHI! Huyu ni nani na wasifu wake ni upi?
Mange Kimbambi..LemutuzzNimemsikia huyu Mzalendo akimlalamikia binti fulani kuwa anamwandama. Ilikuwa mwishoni , hivyo huyo binti sikumsikia jina. Amemsema kuwa anaandika nonsense, tena akakoleza kuwa ana attack serikali na ameachiwa afanye anavyotaka. Anasema ameishi USA miaka 25 na Sweden miaka 5. Amesema ana blog ya MWANANCHI! Huyu ni nani na wasifu wake ni upi?