NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
Huyo mleta uzi kakurupuka tu ,huyo David Mosha,Matelephone, Juma Pinto wamekua ushuani?Maana hao Le Mutuz anakuwa nao muda mwingi.
Nimesahau naongea na vilaza. ..Rich Kid is just a word used for kids who grew up stupid rich you go get your facts nicca...Did u just say he is STILL a rich KID .. A kid like seriously more than 40 years old unamuita a rich kid ..
This is madness ... My people need me aim out here ... kwaheri. . Dah
umetumwa?
Wanasema mbwa wa mfalme na yeye mfalme kwenye mbwa wenzie....
kua na Diplomatic pasport ndio nini? Hashuo tuu na majisifu yasokua na mipaka mnajisifia mpaka mnaharibu,kwanza mwenye nazo hasemi wala hatangazi ULIMBUKENI HUO...........
Ndio na dem wako kanituma
Mburula wewe...hakuna mtu mwenye uwezo Wa kunituma humu JF
ndio wala wale, sio kulopoka KUROPOKA..... Umeiona hiyo pasport inamaana sana eeh? ndio inakupa hela au tkt au kwa sababu ya visa ndio mana unaiyona inamana? wacha kuongea kama umelala wewe Visa kama unavyo vigezo unapata mshazowea kubebwa na akili za kushikiwa ebu tuondole pumba zako.............weka passport yako ya kijani halafu kaombe
ya diplomatic hau travel nayo ndo utajua the difference then maybe you will shut up before kulopoka lopoka
Unatuita wala vumbi kwa kuwa upo mbefele sio, haina hata kwere, kula raha ila usibeze homie wako bz am sure ndugu zako wengine wako hapa hapa kwa Nyerere, tena usikute wanasota mbaya kabisa.
Wewe umeshamaliza kuogesha vibabu vya kizungu?
Kuogesha vibabu na vibibi na kukwangua ukoko masufuria ndio kula raha?
Mtimti na winnie227 wote nyie ni wale wale, hiko babu lingekuwa bilionea mtafuta pesa lingepata wap mda wa kutafuta madada apige nao picha. Embu nambie Aunty Ezekiel alisoma naye au aliishi naye wap b4?
Nimesahau naongea na vilaza. ..Rich Kid is just a word used for kids who grew up stupid rich you go get your facts nicca...
I forgot iam talking to people who have little exposure Gadamntt
Biologically, a child (plural: children) is generally a human between the stages of birth and puberty. The legal definition of child generally refers to a minor, otherwise known as a person younger than the age of majority.
Mpuuzi mwingine kwenye sayari yetu inayoitwa Dunia,kuanzisha uzi JF imekua rahisi sana
Me mutuz is a trust fund baby .future tape iPo secure .wewe endelea kubishana utalala nje. Le mutuz ananyumba NY hayaNo one hates Le Mutuz personal,nadhan ni kama mzaha fulan kwa kuwa na yeye ni kama mtu wa mizaha ivi!!Wengine hatujapata nafasi ya kuwaona au kutaniana na babu zetu so tunamchukulia yeye kama babu yetu ambaye amezeeka sana mpaka akili inaanza kurudi kama ya mtoto that's all!Anapenda uceleb,anapenda kuwa discussed let him have what he wishes for!Nevertheless anajiita billionea,no hate!!Mtoa mada naona unamzimikia babu kimya kimya,ujue kuna freedom to live as you wish na pia kuna Freedom of speech...usiwe unachukulia kwa uzito sana mambo ya humu!
Wewe umeshamaliza kuogesha vibabu vya kizungu?
Achana na wala kisamvu cha chumvi na ugali chukuchuku Hao plus vumbi wamefuliaaaaWala vumbi msiwe na hasira sana na waliofanikiwa kimaisha au waliopiga hatua kimaisha.
Wengi wenu mnaishi kwa shemeji zenu halafu mnajifanya mnaongea mbooovu, wengi wenu kwanza hata maisha hamjui ni kitu gani, mmekalia kutoa maneno machafu na ya kukatisha tamaa watu wkt nyie maskini ya mungu hamna mbele wala nyuma.
sasa mnabisha kuwa hamli vumbi? Hehehe. ..dada zenu kabla ya kupika wali ule mchele mbona wanautoa mawe? 😂😂😂
New York kijiji Chaka au.Wewe fanya research sio unamsema VIBAYA mtoto wa watu .amekua baba ake executive .Mama ake miss Tanzania alikuwa pretty woman .Haukumbuki ajali Ile malecela alupoteza family .Lemutuz na sibling waliobakia ndio roho ya mzee malecela wewe .watu mmesahaukwanza huyo lemutuz wao si ajabu hata mshua wake kamchukua ukubwan maana wagogo hua wanazaaga tu pia ana mdogo wake yupo dodoma yeye kidogo afazal ingawa kila alipokua anasoma hamalizi.