Le mutuz, haters wengi ni wanaume kuliko ladies

Kweli haters ni men, na wivu ndio unaowasumbua! Wanaume wote wanapenda ku brag, kama sio kwenye kadamnasi basi hata anapofuata mbebez, sasa jamaa kawazidi bragging voice wanamaiiiiiiind! acheni wivu haters.
 
- Hamna haters hapa kuna admires tu na big fans, mtu anayechukiwa huwezi kupata page 10 hapa only anayependwa U know hahahahaha and I love it

Le Big Show

Mpe za chembe huyo le Mutuz a.k.a mtoto wa makamu wa rais wa zamani, mwenyewe aliona utamuunga mkono.
 
Hakuna anaye mchukia mwenzake humu ni utanizzz na kuongezazzzz sikuzzz za kuishizzz u know,ahahahahahaaaaaaa life goes on.
 
Dah! me sina ugomvi na mtu ila ungeandika kiswahili all over kuna maneno ya kingereza umeniacha.
 

Wewe ni pimbi tu,hamna mtu anamchukia Le mutuz bali tunachukia upuuzi anaofanya kama kutetea ufisadi kusema tunamchukia kisa ma babez ni utahila sababu mwisho wa viuno ni kuukwaa na hatokufa nasi kamwe!!
 
Na vibabu vya kizungu vinavyonuka acha tuendelee kula vumbi umeondoka bongo ulikuwa unahisi kinyaa kumkogesha babu yako njaa hizi na kupenda kuonekana unaishi ulaya endelea kuvipodoa vibabu mbaya zaidi sijui kama vinakupa bakhshishi .
 

Asante sana hivi unakunywaga nini wewe?agiza bili yote kwangu.umenifurahisha sana.unajua sio siri wabeba box wengi wakiwa na wazawa wanapenda kujifanya maisha bora wakati mazafanta wanashindia MacDo na soda au KFC hawana hata uwezo wa kwenda club kama wabongo,wanatumia simu za kawaida sanaaaa hata wabongo wanawashinda.kwa mwaka wananunua nguo kwa msimu in short wanaishi maisha ya kinabii kama kwenye biblia ya "Ikawa asubuhi,ikawa jioni siku ikaisha."Ila kelele nyingiiii na geto moja wanakaa hata watu 8 ili mradi tafrani tupu bora bongo unakodi nyumba nzima yaani acheni tu.Wananunua magari yaliopata ajali kwa majina ya watu wengine wanafix kidogo ndo wanasumbua mjini.wakikutana na polisi hizo mbio zake sasaaa?maana wakikamatwa tu ni deportation inawahusu mfyuuuu ngoja nijirudie zangu bongo nikavune mihogo mie mxieeeewww
 
Wewe ni pimbi tu,hamna mtu anamchukia Le mutuz bali tunachukia upuuzi anaofanya kama kutetea ufisadi kusema tunamchukia kisa ma babez ni utahila sababu mwisho wa viuno ni kuukwaa na hatokufa nasi kamwe!!



- Well nipo Vacation Arusha at Nduruma Farm, ninapumzika na kupanda farasi tu mpaka baada ya New Year ndio nitarudi bongo then we can square with this never ending kwikwizz U know unamchukia mtu ambaye humpunguzii anything, ukisema ninamchukia ndio maana hawezi kupata pesa I can understand that, lakini unamchukia mtu ana Degree 3 wewe huna hata moja, Mutu anaishi downtown bongo wewe unaishi Shimo la Udongo U know sasa hata viwanja anavyokwenda huwezi, halafu unasema namchukia Le Big Show saa hizi nipo Ariusha nakula batazzz wewe unalia lia mitandaoni hahahahahaha sema unajichukia mwenyewe, wewer huwezi kunichukia cause hatufanani mimi nina maakili mengi sana wewe huna so back off U know hahahahahaha

Le Mutuz Arusha One!!
 

Big show!
 
Mweee!!Karibu,nyumbani ni nyumbani!
 
Hata mimi nakubali haters wengi ni wanaume kuliko wanawake, we angalia hata aliyefungua thread maalum ya kumsema vibaya jamaa ni mwanaume. Mi nafikiri hapa JF kuna wanaume wengine wameweka ID za kike kwavile mambo na maneno yao humu hayafanani na mwanaume mwenye akili za kawaida.
Halafu huyu jamaa sijui kwanini anawanyima usingizi! Matusi na kejeli zote, lakini Le Mutuz katulia anawajibu poa tu, kwanini hamumwachi jamaa aishi maisha yake?
 

hahahahaha
 
Hakuna wa kumchukia mtu asiyemjua vizuri.... wengi hapa Jf wanapenda kumtania le tamkoz ili kuburudika na majib yake ya kuchekesha...... kupitia thread za le tamkoz ni sehem ya kuburudika.....
 

- Duh kumbe humu JF kuna watu genius U know, salute mamen hahahahahaha achana na le mburulazzz hawa U know

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…