Le Mutuz hii sasa imezidi

Le Mutuz hii sasa imezidi

Wamajanga

Senior Member
Joined
Jun 24, 2014
Posts
133
Reaction score
47
Mimi ni shabiki wako mkubwa sana na pia ni role model wangu ktk maisha ya kujitegemea japo wewe mwenzangu una msaada wa wazazitofauti na mimi sina wazazi .

Ila kuna kitu sikipendi japo si kibaya ila ni hatari kwako ni tabia yako ya kupost kila kitu ktk maisha yako ya kila siku instagram na pia kupost maisha yako binafsi ktk blog yako wakati unaiita ni blog ya wananchi.

kwa amani tu badilika kaka mkubwa hiyo tabia ni chance katika kwa maadui wako kukushambulia maana kila kitu chako wanakijua

Namalizia kwa kukwambia siyo wote tusiosoma hatuna akili ila matatizo ya dunia kwa kukosa ada kwa hiyo kuwa na lugha nzuri si kwa kutukatisha tamaa pia unaweza kuwa msomi halafu ukaenda kununua magazeti ya kiswahili tupu na elimu yake ikawa bora vilele

kuna mwanalfasa mmoja alisema "lugha unayotumia kuwaza ndiyo itakayokuletea mafanikio"

Happy new year
 
""Kila mtu anaishi anavyotaka wewe kwako kero kwake burudani, shida ya nini? kama maisha yake ya insta, sijui blog ni maisha yake yeye, wewe inakuhusu nini."" sijakupayukia bana nilikua tu nafafanua haka kausemi ""Siishi unavyotaka naishi nnavyotaka"" teh teh teh.
 
Hahaha...

Yaani umepoteza kweli mkuu, Le Baharia ndio role model wako????

:becky::becky:

ImageUploadedByJamiiForums1420173642.401923.jpg
Aiseee
 
Hahaha...

Yaani umepoteza kweli mkuu, Le Baharia ndio role model wako????

:becky::becky:

23 years in New York Degree 3 kwa Le mbululaz nisiwe role model wao?

Badaye peoples nimealikwa breakfast na Davis Mosha mchana lunch na CEO Joe Kusaga na usiku tukutane Escape one ni bataz kwa kwenda mbele mpaka kuku waone gere.
 
Kwa kweli Binafsi nampenda sana uwiii vituko vyake ni burudani toshaaaa kwangu ,Yaani Nampenda mpaka Naumwa ...Mkimuona mumwambie .....Nakonda bila diet.... so please Mumuwache afanye yake ....Jamii bila watu type hiyo ingekuwaje ?? yaani wote wawe kina January Makamba au zitto ....No tunahitaji entatainment to stress Free ohoo:typing:
 
Mimi ni shabiki wako mkubwa sana na pia ni role model wangu ktk maisha ya kujitegemea japo wewe mwenzangu una msaada wa wazazitofauti na mimi sina wazazi
Ila kuna kitu sikipendi japo si kibaya ila ni hatari kwako ni tabia yako ya kupost kila kitu ktk maisha yako ya kila siku instagram na pia kupost maisha yako binafsi ktk blog yako wakati unaiita ni blog ya wananchi.

kwa amani tu badilika kaka mkubwa hiyo tabia ni chance katika kwa maadui wako kukushambulia maana kila kitu chako wanakijua

Namalizia kwa kukwambia siyo wote tusiosoma hatuna akili ila matatizo ya dunia kwa kukosa ada kwa hiyo kuwa na lugha nzuri si kwa kutukatisha tamaa pia unaweza kuwa msomi halafu ukaenda kununua magazeti ya kiswahili tupu na elimu yake ikawa bora vilele

kuna mwanalfasa mmoja alisema "lugha unayotumia kuwaza ndiyo itakayokuletea mafanikio"

Happy new year

Dogo umepotea ,huyu jamaa ndio role model wako?
 
Back
Top Bottom