Ahsante kwa kunisaidia. ...It time for him to come out
Hivi kwanini watanzania mnapenda kumchagulia mtu maisha ya kuishi.
Mwacheni aishi maisha anayoyapenda kuishi ili mradi yanampa Furaha.
Tatizo nyerere alileta ujamaa ambao Mara nyingi watu wanaishi maisha ya kufanana na ndio maana le mutuz alivyokuja na life style yake watu wanalazimisha aishi kama wao
- Hahahahaha huwa sisumbuliwi na kelele za mlango mkuu worry not nipo ofisini kama kawaida nafanya kazi zangu, ila this is fun and I love it!!
Le Mutuz
Na kweli ni fun sikupatii picha ukiwa kwenye yale mambo unayotendewa na watoto Wa mjini....
Hahaha babu lemutuz yani nazidi kukushika kumbe ulikuwa una wivu na neema kiasi hicho hadi kumadvise aachane na bwana wake, eti dhambi we huoni dhambi yako ya kupakatwa na wanaume wenzako hasa yule black america unasema ur close friend kumbe basha wako hadi watu wamekufuma akikukiss na kukupapasa makalio yako haha, mtu mzima ovyo madongo yamekuuma hadI umeenda kusema kwa xmama mkwe wako haha wenzako wanakucheka hawana mbavu wanaona kweli wewe umekuwa tahira, kuambikuambiwa ukwel kama mama yako anavaa matambara ya dekio ndio umekarika hivyo kwani uongo babu jinga, kwani ni uongo mke wa Davis mosha hajakupiga marufuku kukanyaga kwake haha babu mzima mroho kila siku kujialika nyumba za watu mbona wewe hualiki watu kwenye kibanda chako cha njiwa unachokilipia kodi kama kitoto cha kihindi haha, neema anazidi kukuumiza mtoto anawaka, pesa anayo, mama yake anawaka na ndugu zake wote wako poa, kina Agapeo wako on her side, na bonge la handsome boy linalomshughulukia vizuri analo sio kama wewe hadi upapaswe na wanaume wenzako ndio upiss, na utamsema sana neema na atazidi kukuumiza babu jinga umepatikana, nasimia sasa hivi unatrmbea na screen shots kila mtu unamuonyesha ovyoo nyooo, tulia uache munkari neema kakuacha kila mtu anajua, anasubiri tu udondoke ale pension pot yako haha babu jinga.
Na huo mtumbo ...dayuum
Na huo mtumbo ...dayuum
Duu huyu babu anaezekana akawa si rizki haiezekan anasifia mabebz tuu atusikii ata ka kashfa kakubandua my super frend cjui my wot wot kumbe inaezekna Ana vimichezo vyake
- Hii ni jana SErena Hotel kwenye batazzzzz na le wabebezzz U know
- Duh kumbe mpo wengi leo mmeamua kujisema tabia zenu hahahahahahaha duh this is wasap!1, kumbe unabanduliwa mana hata hili neno sijawahi kulisikia kumbe ndio misemo yenu huko? hahahahahahaha ndio nini maana yake eti? hahahaha
Le Mutuz
Acha kujichekesha tutusa wewe huoni aibu mzee zima kufanyiwa laanakhum ptuuuu!!!!
- Hii ni jana SErena Hotel kwenye batazzzzz na le wabebezzz U know
- Duh kumbe mpo wengi leo mmeamua kujisema tabia zenu hahahahahahaha duh this is wasap!1, kumbe unabanduliwa mana hata hili neno sijawahi kulisikia kumbe ndio misemo yenu huko? hahahahahahaha ndio nini maana yake eti? hahahaha
Le Mutuz
-hahahahahaaha u know le batazzz kama kawa leo baada ya kazi kama kawa, leo mtajisema wote tabia zenu pole pole endelea kumbe ni tutusa wewe duh!! unajifanya mbwa kumbe wanaku tutusa hahahahaha
Le Big Show
- unazidi kujisema tu mambo yako hahahahahahaha ila hapa hamna soko ndio tatizo hahahahaha mnakufa na maji sasa manatapa tapa muoeni huyo mama atulie hahahahaha mimi nina Le Msomali hahaha
Le Mutuz
Teh teh teh mipini inakuingia si ulisema hauta niquote tena imekuwaje? vipi hujaniweka tu kwa ignore list?? ha ha ha tutusa wewe zee zima linachezewa uchafu ptuuuii
Lione. ...mnyamazishe mkeo mda si mda atatoa aibu yako ya ubwabwa
Namwonea huruma msomali, kama kweli she does exist at all! Ila achana na huu Mtanange BABU utakufa na pressure bureee....glucose yako ipo karibu lakini?