Le Mutuz hii sasa imezidi


Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model

Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app
 
- hahahahahaha shoga linazidi kujivua nguo lenyewe unaona yakizidiwa hujisema wazi hahahahahahahahah I love JF unabnwa mbavu mpaka unajisema mwenyewe hahahahahahaha

Le Mutuz

HV ushawah kumbana MTU mbavu we teenager lemutuz?
 
unajua watoto wa le mutuz siku moja wataimba hivi kama tupac"no love from my daddy cuz the coward wasn't there"
le mutuz start acting your age,you can still get punanis even if you keep a low profile because you somehow have your daddy's cash!last thing,you need to lose atleast 50 kilos to hit cute skins without paying for them..you are too fat dude.
 

Ss ukipga nao hzo pcha ndo inakuaje, tutasema ww ni bora au? Hayo mawazo mm nlikuwa nayo wkt npo primary, unafikiri wengine wakitaka kupiga picha na watu km hao wanashindwa? Kweli wanavokuita teenager hawakosei.
 
Kubwa jinga huyo jamaa.....umri wote kula kulala kwa mama wa kambo

Ukimwangalia mdogo wake Dr.Mwele Malecela ukamlinganisha na huyu ndo utagundua kuwa Mzee Malecela amepata hasara hapa kwa Le Mutuz.

Mwanamme mzima anajitapa kupiga picha na Wema Sepetu,Diamond and the likes.

Achana na upuuzi unaofanya.Umri na mambo ufanyayo haviendani.
 
23 years in New York Degree 3 kwa Le mbululaz nisiwe role model wao?

Badaye peoples nimealikwa breakfast na Davis Mosha mchana lunch na CEO Joe Kusaga na usiku tukutane Escape one ni bataz kwa kwenda mbele mpaka kuku waone gere.

Mtu kusoma degree 3 alafu zote tofauti ni ishara ya kukosa muelekeo wa kimaisha!
 
Jamani wakuu muwe na heshima kwa babu yetu sio kosa lake ujana wake alibeba sana maboksi huko majuu sasa karudi bongo kakuta watu wanakula bata inabidi nae aige tu japo umri umekwenda!
 
Ss ukipga nao hzo pcha ndo inakuaje, tutasema ww ni bora au? Hayo mawazo mm nlikuwa nayo wkt npo primary, unafikiri wengine wakitaka kupiga picha na watu km hao wanashindwa? Kweli wanavokuita teenager hawakosei.

mkuu watu wako tofauti duniani

huyu unamfahamu, wangap dunia hii kama Le mutuz na hujawaeleza lolote?

hizi chuki na kufuatiliana katika maisha vinatoka wapi? mbona wanaume wenzetu mnaboa hivi??

ni maisha yake, thats it

na kama ungekuwa unamjali wewe na mtoa maada ungemtumia PM ungeonyesha busara zaidi
 
Ss ukipga nao hzo pcha ndo inakuaje, tutasema ww ni bora au? Hayo mawazo mm nlikuwa nayo wkt npo primary, unafikiri wengine wakitaka kupiga picha na watu km hao wanashindwa? Kweli wanavokuita teenager hawakosei.

- So Rais wa Marekani anapopiga picha na wasanii wkareezzz anakuwa teeneger hahahahahaha, sema wewe sio Celebrity so huwezi hata kukutana na hawa wakareezz maana haujulikani na wala huna kipaji chochote hapa duniani simply hujulikani wewe mpaka wazazi wako hahahaha sasa unanikasirikia mimi? hahahahaha wewe tuliza boli uangalie picha hapa za wakareezzzz at bataz za ubatan!!

Le Mutuz
 

- Eti haya maneno yameandikwa na Mwanaume au Demu maana haiwezekani kwenye jamii yetu tuna wanaume wanaweza kuandika hivi kuhusu wanaume wengine wasiowahusu, serious wewe MWanaume mzima ambye mambo yako yanafanana na umri wako unaeenda kufuatilia maisha ya Mwanaume mwingine ha;afu unaenda kwenye Social Media kulalamikia na majina ya bandia unasema na mimi nikifanya kama wewe ndio nitafanana na umri wangu kama wewe? hahahahahahahahahaha I mean

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…