Le Mutuz hii sasa imezidi

Mtu kusoma degree 3 alafu zote tofauti ni ishara ya kukosa muelekeo wa kimaisha!

- Ninamiliki kampuni ya Blogu ya Wananchi Media Company, in the process ninatoa ajira kwa vijana, nina kazi ya Transportation Manager Kampuni ya ICD Chikasa na sasa ninafungua Radio na TV kwa kushirikiana na Kampuni ya Delina, ninaishi nyumbani kwangu, ninalipa mwenyewe kodi ya nyumba yangu, ninawasaidia vijana kibao hapa mjini wasio na mueleko, unasema ni kukosa muelekeo wa maisha kwa mtu kama mimi mwenye Degreee 3?

- Ok niambie wewe kimaisha unanizidi kaka au unaimba tu wimbo bila kujua unamuimba nani? Wewe unanijua mimi au unanisikia? Hebu jipime na mambo yangu na maisha yangu halafu niambie kwamba wabongo wote wenye Degree 3 wamefikia nilipofikia tena in 4 years tu nilizorudi bongo? hahahahahaha

- WEWE HUNIJUI MNAIBIMBISHWA NYIMBO BILA KUJUA UNAMUIMBA NANI LE MBURULAZZZZ

Le Mutuz
 
Kubwa jinga huyo jamaa.....umri wote kula kulala kwa mama wa kambo

- Mara ya mwisho nilikuwa nyumbani kwa Waziri Mkuu tukawa tunasoma naye ule ujinga wako unaukumbuka, akaja mtu mmoja akakutaja kwa jina lako kamili pole sana na nakusikitikia sana bro, nitafute kama unaweza naweza kukusaidia kakaka maana nhuna akili kabisa!!

Le Mutuz
 
Huyu ni km mwanaume lakini kwa mbaali naona kitu kama shanga hivi, hahahahaa.

- Ni kawaida ya wanaume wanaovaa shanga kiunoni kujisema wenyewe bila kuulizwa kumbe mkuu na wewe ni wale wale like jamaa kule nyuma hahahahahahahhaha

Le Mutuz
 

- My kids are fine hasa my son nitamuachia mali za kutosha na he will always be proud of me cause I work hard mostly for him, ila kama haya ni maneno ya Mwanaume basi pole sana kaka maana najua una mke na watoto maana kama wana baba anaweza kufanya this pole sana!!

Le Mutuz
 
Hili pumbavuu ni lakulidharau tu kubwa zima akili kizidiwa hata na dongo janja
 
le mutuz ni jembe..namkubali sana huyu jamaa anaishi maisha yanayomfaa yeye sasa ninyi mnaohoji ni akina nani?

Nyinyi ndio mnampotosha huyu babu kiumri Le Mutuuuuuuuz ni sawa na baba yangu.huyu hovyo kabisa anazidiwa akiri na mdogo wake yule doctor katulia kabisa.nimemzalau anasema ametoka kwa mama Kilango amepata nyumba yake ya vyumba 3 mimi nilijua kanunua kumbe kapanga ushahidi ninao ukibisha nauleta.Le Mbululazzzzz eti anasema tunaokaa mbezi na segelea ni polini.Mimi nakaa Kinyerezi kwangu na najivunia kwangu wewe kutwa kuhangaika na wanawake kwenye Ma instagram sijui ni kuwadi wewe hata sikuelewi unawazalilisha ndg zako na wagogo wenzio badilika wewe babu
 
Hili pumbavuu ni lakulidharau tu kubwa zima akili kizidiwa hata na dongo janja

- hahahahaha sema unajidharau wewe kwa sababu Mwanaume wa kuingia na majina ya bandia kutukana wanaume asiowajua lazima udharauliwe au ninakosea? hahahahah

Le Mutuz
 
- hahahahaha sema unajidharau wewe kwa sababu Mwanaume wa kuingia na majina ya bandia kutukana wanaume asiowajua lazima udharauliwe au ninakosea? hahahahah

Le Mutuz

Wewe ni MKASI sijui unajua maana yake
 

- hahahahaha Kinyerezi nina shamba la eka tano na nyumba ni yangu, hapa mjini wote tunaishi nyumba za kupanga kama ningekwua na akili ndogo kama yako ningekuja kuishi huko ila kwavile biahara zangu zipo hapa town ndio maana sina mpango wakuja huko mashambani kwa sababu Meli ikija bandarini ninaamka mara moja ninaenda kazini imagine ningekuwa naishi Kinyerezi na mvua za juzi na Meli imeshafika, pole sana ila nina akili nyingi sana kukuzidi na ninaheshimika sana ndio maana CCM Taifa walinipa heshima kubwa sana kwenye Ripoti ya Rais ya kushukuru waliosaidia kupitishwa kwa Rasimu bungeni hivi karibu tafuta ile ripoti ya CCM utakuta jina langu lipo, ndugu zangu hawahusu kama una hoja deal na mimi le mburu;lazzzzzzz ok!!

Le Big Show
 

Yani leo ndio nimeamini wewe babu ni mjinga hiyo rasimu ya kifisadi ndio unajivunia.jitathimini vizuri kama akiri zako zipo sawa hao ccm Mafisadi wenzio ndio unakuja kujivunia hapa vyeo mnalisishana na kwa kuwa wamekuona hujielewi ndio mana hawajakupa hata ukuu wa kijiji.mtu una miaka 60 bado una hangaika na vitoto na mapicha picha jitambue we mzee
 

- Hahahaha Miaka 60 sijafikia na wala waliofikia sio kwamba sio watu huo wako ni ubaguzi kwa hiyo una maana baba yako kwa vile ana miaka 60 sio binadam? hahahahah sijamuomba mtu ukuu wa anything ninafanya my business na I am happy with my life na you know that, ndio maana unalia lia unalia nini kwa sababu yako hana elimu na hana cheo Serikalini unasema ni kosa langu? hahahahahaha

Le Mutuz
 
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model

Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app

#Wamajanga hapa ulisahau kurudi kwenye ID yako uliyoanzishia thread.
 
#Wamajanga hapa ulisahau kurudi kwenye ID yako uliyoanzishia thread.

- Siku nikijianzishia Thread hapa ujue nitakuwa nimekufa tayari sio nikiwa mzima kama sasa that will never happen, kubali tu kwamba ninawapiga in your own game na using exactl;y your own language sasa unageuza eti nimeanzisha thread hii hahahahahaha lets paly the game U know I love it!!

Le Mutuz
 
Inabidi sasa nikae pembeni mwenyewe maana watu washatoka katika point na nahisi kaka le mutuz hakunielewa maana sikumsema kwa ubaya na nilimshauri tu
 

Le Mutuuuuuuuz una majibu ya ajabu yani nakupa ushauri mzuri ila majibu unayonipa yananifanya nicheke sana.mimi sio nakuponda ila nakushauri jambo zuri la mwisho sio kila mafanikio yako lazima uyatangaze juzi ulitoka kwa Mama Kilango kwenda kupanga vyumba 3 Dunia nzima ilijua.na kuhusu life style hiyo sio mbaya maana inakuingizia pesa na matamasha nakukubari sana kuweza kufanya tamasha ukaingiza watu 5500 sio mchezo hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…