Le Mutuz hii sasa imezidi

Utasubiri sana mkuu mwenzako ndio maisha aliyojichagulia hayo
 
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model

Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app

Mkuu, hapa vipi? Umekonfyuzi? Acha kujifungulia nyuzi kijingajinga
 
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model

Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app

Khaaaa we tukunyema sasa hapa umefanyaje??? Unajitekenya nakuona
 
Mkuu, hapa vipi? Umekonfyuzi? Acha kujifungulia nyuzi kijingajinga

Hahaha umestukia mkuu

Hili puto ni aibu kwa wagogo wote na watanzania kwa ujumla
 
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model

Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app
Sea man vipi tena unajichanganya.
 

Kweli we mzee unapenda attention. Kwa hiyo ukiona kimya hujazungumzwa unajianzishia thread ili iweje? Kweli kumiliki ID nyingi inataka umakini wa hali ya juu vinginevyo lazima uumbuke.
 
Khaaaa we tukunyema sasa hapa umefanyaje??? Unajitekenya nakuona

Hili babu umri umekwenda, memory kwishney, asilimia 80 ya comments kwenye nyuzi zinazomhusu linacomment lenyewe, then linasema nyuzi zake zinafikisha comments page 10, jinga sana hili babu.,,
 
Hili babu umri umekwenda, memory kwishney, asilimia 80 ya comments kwenye nyuzi zinazomhusu linacomment lenyewe, then linasema nyuzi zake zinafikisha comments page 10, jinga sana hili babu.,,

- HAHAHAHAHAHAHA U knoe this is fun!!

le Mutuz
 
Kweli we mzee unapenda attention. Kwa hiyo ukiona kimya hujazungumzwa unajianzishia thread ili iweje? Kweli kumiliki ID nyingi inataka umakini wa hali ya juu vinginevyo lazima uumbuke.

- hahahahahahah pole sana siku nikiumbuka wewe utakuwa umekufa karibu to my Celebrity World where gossip and majungu is part of its life!!

Le Mutuz
 
Dah!.Hii Mbegu Y Wap.Haya Ndo Mattzo Y Kutafut Watto Wakat Mmelew Viroba.Matokeo Yk Ndo Haya Machizi Fresh Yanatusumbua Mjini Apa!
 
Dah!.Hii Mbegu Y Wap.Haya Ndo Mattzo Y Kutafut Watto Wakat Mmelew Viroba.Matokeo Yk Ndo Haya Machizi Fresh Yanatusumbua Mjini Apa!

- So wewe mama yako alipewa mimba bila kulewa sasa unatafuta nini hapa mkuu sana? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…