Sipati picha kama angekuwa na Honorable Degree.
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model
Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app
Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model
Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app
Mkuu, hapa vipi? Umekonfyuzi? Acha kujifungulia nyuzi kijingajinga
Sea man vipi tena unajichanganya.Hongera sana le mituz najifunza mengi kutoka kwako..unajua kujjibu hoja hatakama zA maudhi bila ku panic ila zaidi ni hustler lzako za kutafuta pesa ...your my role model
Sent from my Nokia_XL using JamiiForums mobile app
- Siku nikijianzishia Thread hapa ujue nitakuwa nimekufa tayari sio nikiwa mzima kama sasa that will never happen, kubali tu kwamba ninawapiga in your own game na using exactl;y your own language sasa unageuza eti nimeanzisha thread hii hahahahahaha lets paly the game U know I love it!!
Le Mutuz
Khaaaa we tukunyema sasa hapa umefanyaje??? Unajitekenya nakuona
Hili babu umri umekwenda, memory kwishney, asilimia 80 ya comments kwenye nyuzi zinazomhusu linacomment lenyewe, then linasema nyuzi zake zinafikisha comments page 10, jinga sana hili babu.,,
Kweli we mzee unapenda attention. Kwa hiyo ukiona kimya hujazungumzwa unajianzishia thread ili iweje? Kweli kumiliki ID nyingi inataka umakini wa hali ya juu vinginevyo lazima uumbuke.
Dah!.Hii Mbegu Y Wap.Haya Ndo Mattzo Y Kutafut Watto Wakat Mmelew Viroba.Matokeo Yk Ndo Haya Machizi Fresh Yanatusumbua Mjini Apa!
Hili jamaaa jinga sana Le kubwa jinga