Le Mutuz hii sasa imezidi

View attachment 229504umekimbia famikia na kumtelekza mama mama yako anavaa madekio ya chooni halafu unakuja kuongea utumbo hapa, grow u old fool.

- Huyo ni my ex-wife na my son na huyo mwingine ni my mother, wote wapo fine and I am fine too and my life goes on thank you kwa kuweka this pics angalau inaonyesha kwamba unanifuatilia sana I love that ndio maana ya Big Celebrity!!

Le Mutuz
 
- Huyo ni my ex-wife na my son na huyo mwingine ni my mother, wote wapo fine and I am fine too and my life goes on thank you kwa kuweka this pics angalau inaonyesha kwamba unanifuatilia sana I love that ndio maana ya Big Celebrity!!

Le Mutuz



Duh masikini mkubwa wewe uliyekimbia child support USA na kuja kuchezewa na watoto Wa mjini...

Babu zima hovyoo hivi ukiwaona unaowazidi umri Kama akina Zitto wako serious kuliko wewe kibabu hujisikii aibu??

Mtumbo na mbichwa mkubwaaa lakini umejaza ujinga tuu
 
- Huyo ni my ex-wife na my son na huyo mwingine ni my mother, wote wapo fine and I am fine too and my life goes on thank you kwa kuweka this pics angalau inaonyesha kwamba unanifuatilia sana I love that ndio maana ya Big Celebrity!!

Le Mutuz

Hivi huyo ni mama yako au mchunga mbuzi wenu?
 
- Huyo ni my ex-wife na my son na huyo mwingine ni my mother, wote wapo fine and I am fine too and my life goes on thank you kwa kuweka this pics angalau inaonyesha kwamba unanifuatilia sana I love that ndio maana ya Big Celebrity!!

Le Mutuz

Huyo kijana mwenye bonge la domo kama dayamondi ni nani Le mutuz?
 
Hivi huyo ni mama yako au mchunga mbuzi wenu?

- Well, ukiweka picha ya mama yako kwanza itakuwa super sana kuhukumu wa wengine otherwise enjoy it that is my mother and I love her na yupo sawa alikuwa anaumwa nimemuuguza now she is fine!!, I thank God for that na marafiki wengi walionisaidia!!

Le Mutuz
 
Mbona babu lemutuz neema alikuaibisha ukonga kwa kina mzee ngululupi, mtotoz anawaka na ana kahandsome boy mpya na classy halafu watoto wako wanamuita baba na wewe wanakuita that fat looser haha aibu huoni babu jinga lemutuz, handsome boy kila anapaa usa na kurudi bongo kwenda kumgurahisa neema na watoto wake kina Agapeo wakati wewe unahangaika kutoka majasho na kutukanana na vitoto vya manzese kwenye instagram, huoni aibu watoto wako wamekuja bonfo halafu hawakuwa hata na time na wewe na hata ulivyoenda kuwafata ukonga walikutolea nishai na wakakukataa ba bado unajisifu kuomba omba kwa wanaume wenzako ili uchange umpatie urithi agapeo ambaye hata visenti vyako na noah yako ile hana mpango nayo, haha eti billionaire ,ungepanga kijumba cha njiwa pale lumumba huoni aibu wewe babu jinga, over 70 na bado unalipa kodi ba unajiita bilionaire really? If I were u I would shoot myself by now jinga wewe na mapensi nyanya yako kuli wa bandarini, kila siku unatangaza ndoa na wakati mtumbo na mafuta yamekufanya hata jogoo hapandi mtungi kama neema anavyosema ---- wewe, ndio maana watoto wako wanamuwish happy fathers day mama yao badala yako wewe cause ur not worth it, endelea kumfunhulia chicaho milango upate hela ya kula la sivyo utaadhirika town hapa na wakati kwenye urithi wa mzee malecela pia haumo haha ---- jinga wewe babu gojo.
 
Inaniuma sana Wille japokuwa nina miaka 21 lakini bado inaniuma sana ninapukuona hivyo. Sitaki kuku judge lakini naomba Mungu mwanangu asije kuwa kama wewe. Sisemi vibaya lakini kama ningekuwa wewe kutokana na exposure ya mbele, mid 90s ningerudi bongo by leo ningekuwa Dangote. Kinachoniuma unajiajiri huko kwenye ma blogspot. Wakati una contacts una degree kibao kichwani be productive. Najua utasema i don't know about your life. Lakini Le Mutuz kama leo hii Mungu akakuchukua,kufika huko akhera akakuonesha opportunities alizokupa ukazikacha. Then akakuonyesha jinsi watu wanavyoteseka utakosa cha kujitetea. Sijui sababu au labda ndo mtoto pekee, inaniuma sana tena sana naandika hivi machozi yananilenga. Kuwa na elimu sio kuwa na akili ya maisha. Wewe sio mjinga kamwe lakini nakuhakikishia kuwa bado haujaamka. Ushauri wangu mzazi wale wanao wachukue tunza familia, chukua responsibility hakika hautopata muda wa kufanya huu ujinga. Watu wanasema umeruka steji hapana Wille ulienjoy ujana sana lakini inaonesha bado haujaridhika. Inaniuma sana kuona mtu mwenye miaka 50 na kitu anaona kuwa na Lambo dili na sio kumilika Fixed Assets inaniuma Wille please. Tukomboe sisi watanzania fungua miradi hata kama usipotuajiri tutakuwa inspired mkuu. Ninaamini damu ya mzee Malecela ipo ndani yako mkuu i believe in you. Mungu akutangulie katika kila jambo mzazi.
 

umepanic Bob,

Is it necessary? au wewe ni Neema Ngwilulupi? utajuwaje mtu hadindi kama hujampanulia?
 

- HAHAHAHAhahahaha hii imenichekesha kuliko, hahahahah super nonsense yaani unamsifia ndugu yako kwa kuwa hawara mume wa mtu yaani Patrick Mwanga mume wa Mariam Komanya mwenye watoto naye 2 ambaye anasoma London unasema ni bwana dogo dogo bwana anayegombea hela za watoto kwa ndugu yako ndio unayemsifu hapa kweli are U seriious au unatania? hahahaha mimi sio marioo wa kutumiwa tiketi na mwanamke kwenda kubeba Ulaya sabuni za kuuza hapa mjini no I am bigger than that, hahahah this is just fun dada unajivunia mdogo wako kutembea na mume wa mtu, unasema it is good for the kids? hahahahahhh ok naomba niishie hapa maana itakuwa soo nikiendelea ila umenivunja mbavu!!,

- hahahahahahaha I mean mengine yote ni hasira za kwachwa maana mtu uliyemuacha na ausiyemtaka huwezi kuhangaika na maneno yote haya ya kizushi, ina maana mnanitaka na believe me hamtakuja kunipata tena, yalikuwa ni makosa na makosa ni kurudia makosa tena sitayarudia tena ndio maana ninakuwa muangalifu sana kabla ya kuoa tena, otherwise I am fine na my life goes on!!






Le Big Show
 

- Nonsense njoo kwanza unilipie maisha hapa mjini and then come with this, pole sana simply foolish!!

Le Mutuz
 
Nani akutake wewe lemutuz na wakati familia nzima ya kina neema walikuwa hawakutaki kwa tabia zako kikekike na sifa za kijinga babu zima mtoto wa beki tatu, mbona hutaki kuelezea hapa watoto waki walivyokukana live kama hawakutaki na wala hawakuitaji hadi umeenda kulia kwenye noah lako haha, Agapeo ameingia college halafu wewe hata hujui hadi uambiwe na watu baki, unatry hard kumpigia simu lakini wala hapokei haha halafu eti unajidai I work hard kumuwekea inheritance my son thubutu ---- we dume zima ovyo, acha kujisifu una watoto na wakati wala hawakutaki wewe kamnunulie mama yako nguo aache kuvaa yale matambara yake ya deki na umtoe kwenye kila kibanda chake cha mbwa haha, babu over 55 bado unakaa kwenye kijumba cha msajili kama kitoto cha kihindi haha na bado unajisifu, eti ofisi ofisi kumbe ka corridor tu au uchochoro wewe babi masifa utakufa kwa pressure, mtoto neema anazidi kuwaka wewe umeishia kuftuka tu kama nguruwe jike mjamzito haha.
 
neema anadai le mutuz jogoo lake haliwiki, ndo maana akamkimbia. Ana tumbo kubwa kama robota la mtumba. Super looser, hahahahahaha am humbled
 
neema anadai le mutuz jogoo lake haliwiki, ndo maana akamkimbia. Ana tumbo kubwa kama robota la mtumba. Super looser, hahahahahaha am humbled
 

- Maumivu ya kuachwa unanipa moyo tu kwamba I was right, ndio maana nipo very careful kwenye kuoa tena maana nisije nikaishia kuoa mke mwingine kama wewe, na I thank my God kwamba nilikuacha Imagine kuishi nyumba moja na mke kama wewe hahahahaha pole sana ila mimi hutakuja kuniona tena kwenye your life, it was a mistake nimejifunza ndio maana I am taking my time na the next one wewe endelea na huyo Mume wa mtu, pole sana ila uliyataka mwenyewe!! hahahahaha, I mean mama wa watoto wangu wawili pole sana nawaonea huruma sana hao watoto na ninawaombea kwa Mungu kila siku maana najua dhambi ya mama yao kuwa hawara wa mume wa mtu tena wa dini tofauti ya yako hicho kichumba unachoishi kimejaa dhambi tupu kamuombe Mungu wako akusamehe, ungekwua Mwanamke kweli ungetuafuta bwana siye mume wa mtu, mimi siajwahi ku date mke wa mtu wala mtumzima kama wewe mwenye miaka 50 no way, so pole sana ila it is over!!

- Halafu hayo maneno ya REd yamenichekesha sana hahahahahahahahaha hahahahahah!!, mtoto anayewaka hawezi kuhangaika na waume za watu anakuwa na bwana wake mwenyewe sio Mwanaume apitie London kwanza kwa mkewe ndio akuletee makombo, haha no way mimi sina mke wa mtu NEVER!! na wala sijawahi, pole sana!! ila uliyataka mwenyewe!!, hii mitandao haitakusaidia kitu unajichorehsa tu kunichafua mimi huwezi maana watu wananijua vizuri sana, mama yangu is fine ndio maana uliweza kwenda likizo na watoto mkalala wiki nzima unasema mlilala kwenye kibanda cha mbwa na watoto wawili kwa wiki nzima tena watoto waliotoka Marekani? I guess huyo Mume wa mtu unayeruka naye sasa anakusoma hapa kwamba siku akikuacha haya ndio yatamkuta matudi kwenye mitandao, pole sana!!

- Ulitingisha kiberiti now umeona kimejaa ukadhani ninaogopa kurudi bongo nimerudi na ninaishi, Miaka 4 bado una maumivu uta recover lini? Yaani pamoja na kuwa na Bwana bado unanifuatilia maisha yangu vipi badala ya kumjali Mume wa mtu unayemuibia Mariam, mimi sirudi tena huko!!

Le Mutuz
 
neema anadai le mutuz jogoo lake haliwiki, ndo maana akamkimbia. Ana tumbo kubwa kama robota la mtumba. Super looser, hahahahahaha am humbled

- hahahaha kwenye mapenzi yanaitwa maumivu hahahaha, toka nirudi bongo hawa mabebez wote niliowa date ingeshakuwa habari mkuu hapa mjini wala hanisumbui ni mamumivu tu haya!! ya kuwachwa!! hahahah aliyataka mwenyewe kwa kutingisha kibiriti akakuta kimejaa sasa analia lia hahaha mpe pole zangu maana anasikitisha sana!!

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…