Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Alisema hawezi kuacha makaburi ya ndugu zake Tunduma, nikaamua kununua nyumba Mbeya mjini akaishi bado akakataa well sio muhimu sana ila nahisi nimekusaidia.

le Mutuz
We Mzee sio mkweli...fix sana kuna mtu duniani hapendi vitu vizuri?

Eti akakae na makaburi ya nduguze like serious? Amekuwa mganga?

Hata hivyo una roho ya paka asee, kuleta mavituko yako humu kwenye mitandao!

I salute[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 

- Wazungu walinifundisha kuwa mkweli na hasa kwa mtu kama mimi ambaye my life ni mitandao, kumbuka usiposema wewe ukweli wako kuna ambao watakusemea kwa agenda zao, nitakua kichaa kumsingizia Marehemu Mama yangu maneno ambayo hakusema. Humu kuna ndugu zake wengi wanasoma wanajua ukweli wote, kumbuka huwa sifanyi anything bila justifications ni moja ya sheria ya maisha yangu!

le Mutuz
 
mkuu badilisha story hii, watu watakujadili sana, kuna makosa yalifanyika upande wako, utajiexpose vibaya, utaharibu zaidi.we ignore tu jadili au jibu hoja zingine. I mean, lete story ingine, acha story ya bimkubwa.
 
YALAAAAAAAAA ...uwiiiiiiiiiii
 
- Ni nyumba na kuna watu wanaishi, ndio maana hujaona ikiwekwa ingekua mbovu au mbaya ingeshawekwa hapa hahahahaha

le Mutuz
Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa nuru ni mdada wa mjini nilikua nakuonaga nae sana miaka flani hivii tukimuuliza lemutuz ni mtu wako anakataa mwisho wa siku akasema nimeachana na lemutuz eti hasi...... acha niishie hapa tu
 
Hiyo uko sahihi, ya mtu kuukuumiza? Hell no!

Hapo ndo napokukubali

Narudia una roho ya paka, congrats
 
Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa nuru ni mdada wa mjini nilikua nakuonaga nae sana miaka flank hivii tukimuuliza lemutuz ni mtu wako anakataa mwisho wa siku akasema nimeachana na lemutuz eti hasi...... acha niishie hapa tu

- Nuru alikua ni mmoja wa mabebezz wangu wa kwanza niliporudi bongo, nilipokutana naye alikua ndio anajaribu kuachana na mtu wake aliyekua Meneja wa Twanga, yule Bwana alipogundua kua nipo naye akaanza kunitangazia hayo maneno unayoyasema, ila ingekua kweli my ex wife asingeniacha kwa Mange.

- Nuru nimekutana naye juzi kwenye Ngwasuma ananipenda mpaka kesho, unajua ukijua mapenzi kama mabebezz wanakulilia sana ukiwaacha muulize kama anaweza kunikataa leo nikimtaka?

le Mutuz
 
mkuu badilisha story hii, watu watakujadili sana, kuna makosa yalifanyika upande wako, utajiexpose vibaya, utaharibu zaidi.we ignore tu jadili au jibu hoja zingine.
MKUU wewe bado hujamuelewa sana huyu ...jaribu kufuatilia maisha ya ma celeb wengi wanaotamba bongo wengi wanavuma kwaajili ya uchafu wa tabia zao ..nahii nikwasbabu wanazungukwa na Jamii ya vijana ambao wwngi wao ni mazwazwa akili yao huwa inafnya mapokeo ya vitu vyakijinga jinga mnooo ...nandio hao maceleb hupata nafasi ya kujitangaza na kujulikana ..so huyu Jamaa yko nae ameuona huo udhaifu na ndio maana anautumia kwaajili yakuweza kufukia malengo yake aliyojiwekea...kama utakuwa umepitia baadhi ya comment zake kuna mahali anasema hii ni biashara yangu ya mtandaoni ..wewe unanidiscus mimi naendelea kuingiza hela..
so hata ujaribu kumshauri vipi ..hawezi kukuelewa cuz ameamua kuishi maisha hayo iliajipatie fame ..nahapa ndio tz tulipofikia
 
hahaha, you're right, mange asingekuacha.

- Sijawahi kumuogopa Mange hata siku moja, sijawahi kukosa anything in my life kwa sababu ya Mange siku ikinitokea nikakosa something kisa Mange ndio nitaanza kumuogopa so far never, amehangaika sana na mimi kuwaridhisha wanaomtuma sana sana ameishia kuniongezea umaarufu tu!

le Mutuz
 
Wakati anakwambia hayo maneno hao ndugu zake walikuwepo?
 
mkuu badilisha story hii, watu watakujadili sana, kuna makosa yalifanyika upande wako, utajiexpose vibaya, utaharibu zaidi.we ignore tu jadili au jibu hoja zingine. I mean, lete story ingine, acha story ya bimkubwa.
Kumbe mkuu umestuka eeh!...anazidi kujiexpose tena in negative haswaa doooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…