Le mutuz kuoa binti mbich aliyezidi miaka 25

Status
Not open for further replies.
jamaa si ana watoto,.
 
Mbona Baba yake kafunga ndoa uzeeni haikuwa nongwa.
 
Mbona Baba yake kafunga ndoa uzeeni haikuwa nongwa.

Ukiishi nyumba ya vioo usiwachokoze vichaa, hata Mengi ana mtoto mbichi kabisa, ila yeye tatizo anaendesha siasa za mtaroni na kuattack personalities za watu bila kujijuwa kwamba anakata tawi la mti aliokalia.
 
kweli jamii foram wenye mawazo mapana wametoka.wako waimba taarab na umbea wa barazani.tofauti ni kwamba comment zinatumwa kwa mtandao.maisha binafsi yawahusu nn.je mwamjua?plan zake,maisha binafsi.wengine wenu huku shida tupu.tumieni majina yenu halis mjulikane ka afanyavyo william le mutuz.uzi kero kero
 

Kwahiyo wewe jina lako halisi ni manushichini?

Jinga kabisa.
 
Last edited by a moderator:
huyu jamaa kakimbia familia yake hapa BOSTON marekani alizaa na mama wakizungu akikimbia kwakushindwa kulipia huduma za.afya,ada n matumizi mengine ya muhimu kwa watoto wake..huyo hawezi rudi america ni wanted
 
Una uhakika gani jamani kama jogoo hapandi mtungi .? Punguza maneno makali kwa mambo ya kusikia tu
 
Wimbi la makapera limepungua!
Ila bado nina shaka kama itadumu au ni baiskeli ya miti popote haifikii, other wise best of luckyyyy
 
Du kaona demu zee la miaka 25! yaaani chicks 17 ,18 yrs hajaziona?
 

Over 50 siyo umri wa mtu. Wewe taja hapa umri wake kama unaujua.
 

Le Mutuz akigonga 60+ demu atakuwa na 30 damu changa ndo mwanzo wa kumegewa.
 
huyu jamaa kakimbia familia yake hapa BOSTON marekani alizaa na mama wakizungu akikimbia kwakushindwa kulipia huduma za.afya,ada n matumizi mengine ya muhimu kwa watoto wake..huyo hawezi rudi america ni wanted
Kwa hiyo anaoa mke wa pili?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…