tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,308
anaoa? na kale kamama kaliko kuwa kanajitangaza huku kamepiga picha na bwana harusi eti niko na daddy yenu..kwenye blog..uwiii kua uyaone MAPINDUZI ya millenia
he heee...... hata kama uwanja wa Taifa ndo itakuwa kuingia bure? nadhani kutakuwa na card.Wala hatuhitaji kadi best, si wanafanyia uwanja wa taifa? Tukaweke kambi pale day b4, wakija wanatukuta. Bwana harusi nahisi atavaa kaptula kwi kwi kwi. Ila seriously mi nampenda sana le mutuz japo hafai kwa matumizi. Unajua nikikaa nae ntakuwa nacheka tu na kusahau shida za dunia? Paw akiona hapa nimekwisha hehehe
saa zingine towage wastaarabu na wenye utu kidogo....hii ishu ni binasfi sana na sijaona km kuna jipya kwa kuwa huyu si wa kwanza kutangaza ndoa, ndoa kila siku zinafungwa na watu wa marika tofautitofauti...kuna uspesho gani kwa huyu? muacheni jamani kwani mwisho wa siku ni jambo la kheri kaamua kuoa...wengine humu kila kukicha wanafuta wa kuwaoa/kuolewa nao na hawapati..so huyu kabahatika kupata mwandani wake na kaamua kumuoa basi TU ACCEPT na kumtakia kila la kheri ktk maisha hayo mapya anayokwenda kuyaanza....!
he heee...... hata kama uwanja wa Taifa ndo itakuwa kuingia bure? nadhani kutakuwa na card.
ikiwa kuingia bila kadi best mimi sitaenda maana huko kutoka itakuwa kwa kuomba Mungu.
he he heeee, bado sijawa wa mujini best....au tuseme nimegoma kuwa wa mujini, lol!Tutatoka tu bwana. Tunawahi wakati wanafyagia na kila mtu atajua sie wanakamati. Acha uoga best, umbeya wa mjini unataka commitment. Ndo maana ushamba haukuishi
Hii ni spesho case bwana. Huyu hata babake mzazi anajua hii ni special event. Pia Huyu ni bongo selebriti, ndo maana mie nikiolewa chuo kipya hakuna mtu ataniweka kwenye blogu.
he he heeee, bado sijawa wa mujini best....au tuseme nimegoma kuwa wa mujini, lol!
haya itabidi niwe komitedi kwa hili maana :tape:
hiyo siku Paw lazima asahau kama ana muke..... busy na shughuli ya watu
sijakataa King'asti ishu ni kuwa huyo aliyeona ni big deal jamaa kuoa binti wa 25 yrs wkt yeye ana 50 yrs...si ajabu nionavyo mimi, tuzungumze tu mazuri khs ndoa hiyo na kwamba hilo ni jambo la kheri na Baraka...
ha haaaa, kweli mjini ni kukaa kimatukio...Paw niachie. Kum-manipulate mbona rahisi sana? Namsakizia safari ya shamba chalinzeee, ntamletea miti ya michungwa apeleke. Miti 50 tu itamuweka busy. Yaani mjini ujipange shosti hehehe. Kama simu haina betri mbili ndo ukanunue kabisaa, saa ya matukio simu isikuzimikie lol
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini Wiliam J.Malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.
(Miaka 50 + kitambi) / miaka 25 = kusaidiwa...
Teh teh teh inabidi afanye remixDu kaona demu zee la miaka 25! yaaani chicks 17 ,18 yrs hajaziona?
Mambo yake binafsi hayo.
Msiwe kama simple mind, na kuanza kujadili maisha ya watu ilhali kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili kwa maendeleo yenu na taifa kwa ujumla...
Le Mutuz ni over 50!!!! Nilimuona maeneo ya kati mjini juzi Ijumaa amakakamata hako kabinti kiuno wanatembea!!!! Basi vijana wauza mitumba pale jirani na Imalaseko wakawa wanacheka sana!! Si unajua mambo ya Kiamerika tena!!! Halafu huku anaongea na jamaa Fulani kwenye simu akimueleza kuwa ana mpango wa kufungua TV na Radio. Nilicheka sana!! Kabinti ni kadogoo hakika, binti wa kumzaa!!