Le mutuz kuoa binti mbich aliyezidi miaka 25

Status
Not open for further replies.
kwani muanzisha thread uko wapi,, una miaka mingapi?? tutume ujumbe
 
le mutuz needs to drop couple of pounds,eti naye ni celeb,..
nasikia alikuwa model wa fubu alipokuwa new york..hahahaha,big things you know,wabebs wananizimika.
 
Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm na familia yake aliyoishindwa america na mchumba wake totoz ya miaka 25.Ubarikiwe babu le mutuz
 

Attachments

  • CYMERA_20131229_020928.jpg
    137 KB · Views: 354
  • CYMERA_20131229_021217.jpg
    129 KB · Views: 369
  • IMG_191468940307918.jpeg
    58 KB · Views: 351
  • BEBE 2.jpg
    37.3 KB · Views: 297
case mtanga, ungetoa ufafanuzi kidogo! Loading............!!!!
 
Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm na familia yake aliyoishindwa america na mchumba wake totoz ya miaka 25.Ubarikiwe babu le mutuz

Hapa ni mahali pa fikra pevu juu ya siasa. Katika thread hii sioni siasa wala fikra zilizo pevu. Nimeshindwa hata kupata madhumuni ya mtanga. Jamani tunaanza mwaka 2014 ambapo ktk chaguzi za mitaa tunatakiwa kuonyesha tusivyoitaka ccm. Ili tufanikiwe muda ni sasa. Tuache ya mzaha tueneze mabadiliko. Ya mzaha waachie wao wameyazoea.
 
Katika picha ya mwanzo ni kimada wa lemutuz wa sasa na aliyewahi kuwa mke wake kabla ya kuachana baada ya kufumaniwa akibanjua amri ya sita na mwanaume mwenzake,ya chini kabisa ni kimada ea lemutuz,x wife wake na mtoto wao kigori cha miaka 14
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…