Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Why mawani hapo studio?
Swagga....
Uknw umenichekesha sana....!Duh kanishangaza eti watanzania hawajui kwa nini wazungu walitengeneza internet na computer? Yaani hiyo nayo issue? Mbona yeye hajui kuvaa ina maana hajui kwa nini wazungu walitengeneza nguo? Kweli kijana ni low thinking.
Duh kanishangaza eti watanzania hawajui kwa nini wazungu walitengeneza internet na computer? Yaani hiyo nayo issue? Mbona yeye hajui kuvaa ina maana hajui kwa nini wazungu walitengeneza nguo? Kweli kijana ni low thinking.
Hivi miaka 50+ bado unamuita kijana tu,
Kwa ulaya ni kijana tena mbichi!
nyie this guy mkimuangalia vizuri he lives life trying to please certain people and tryna act smart and ends up looking dumb..this life! mxa..we all different