William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Utaishia kuonesha picha za mademu wa watu hivyo hivyo!! Kama boya vile, unapigwa busu la shavuni unalegea to fullest!
Angekuwa na akili, hii picha uliyomwekea ina tafsiri mambo mengi sana juu yake!!!
Hivi una mtoto?
Maana unayofanya mtoto ndio anatakiwa fanya
Kwahiyo huyu ndo demu wako sio? Au nae uliishia kupiga nae picha tu?!
Utaishia kuonesha picha za mademu wa watu hivyo hivyo!! Kama boya vile, unapigwa busu la shavuni unalegea to fullest!
MKuuuu ihii thred yako inamtoa jamaaa. Povu balaa kama vipi msameheee.....Mshika pembe... unaishia kupiga nao picha wenzako wanaenda kugonga!!! Narudia, sina cha kumuonea wivu mzee wa 55+ ambae kinachomweka mjini ni blog isiyo na viwango!!!!
Halafu bila aibu eti unajilinganisha na Millard Ayo!!!
View attachment 522640
View attachment 522645
View attachment 522646
Or else, weka ranking results zako kati ya hizo blogs mbili
Sasa jiongeze mwenyewe!!! Ikiwa Millard Ayo ana-rank namba 5 Tanzania na wewe una-rank namba 376 Tanzania; umeshajiuliza hapo kati kati kuna blogs ngapi kabla hujafikia huo uchafu wako unaopigia kelele watu kila siku kwamba una blog?!
Weka picha za demu wako we mburula!! Au hawakutaki wanakuona mzee!!! Watoto wa mjini ukitaka kuwala wakati umri umeshakutupa ni lazima uwe na pesa! Mzee wewe hata kibanda cha chumba 3 kinakushinda kumalizia na kilichobaki kupiga nao picha manake huna ubavu wa kuwapata!!!
- akili ni kula maisha na kuwaacha wapiga kelele kama wewe walie lie hahahahahahahaha
le Mutuz
Kwahiyo huyu ndo demu wako sio? Au nae uliishia kupiga nae picha tu?!
Ndo maana ukikutana na mademu mafyatu kama yule wa Mwanza wanakuchana live!! Umeondoka Dar na uzwazwa zwazwa wako hadi Mwanza na kupiga picha na demu wa mtu na ku-post instagram kama ilivyo tabia yako!!
Demu wacha akutolee uvivu!! Unadhani kila mmoja anapenda drama...
Utaishia kuita mbebezi wangu hivyohivyo mshika pembe kuwadi
- yaani nipigwe busu na mbebezz` wangu nisilegeee sasa ulitaka nilie? hahahahahahahahaa
le Mutuz
MKuuuu ihii thred yako inamtoa jamaaa. Povu balaa kama vipi msameheee.....
Demu umpate wapi wewe!!! Demu gani anapenda wazee ambao ni losers!!- MWanza nina mademu kibao hakuna hata mmoja aliyewahi kufanya unayoyasema au weka hapa alichosema na picha yake! wacha majungu mtoto wa kiume hebu mtaje nikienda Mwanza wanajigonga wenyewe mpaka wanafukuzwa hotelini wewe wacha hizo hahahahahahahahaha
le Mutuz
Weka picha za demu wako we mburula!! Au hawakutaki wanakuona mzee!!! Watoto wa mjini ukitaka kuwala wakati umri umeshakutupa ni lazima uwe na pesa! Mzee wewe hata kibanda cha chumba 3 kinakushinda kumalizia na kilichobaki kupiga nao picha manake huna ubavu wa kuwapata!!!
Tena leo nipo off kwa mishe zangu, lazima niende nae sambamba!! Nataka akafokewe na Bashite manake lazima akose muda wa kwenda kumtetea Bashite leo!!!MKuuuu ihii thred yako inamtoa jamaaa. Povu balaa kama vipi msameheee.....
Demu umpate wapi wewe!!! Demu gani anapenda wazee ambao ni losers!!
Mademu wa kibongo ukiona wanaenda kwa mzee ina maana huyo mzee ana pesa...!! Wewe pesa huna; halafu unakuja na porojo kwamba Mwanza ana mademu kibao!!!
Tena leo nipo off kwa mishe zangu, lazima niende nae sambamba!! Nataka akafokewe na Bashite manake lazima akose muda wa kwenda kumtetea Bashite leo!!!
Wakati yale ni maneno ya akina mama matendo yako wewe ni ya mashoga!! Na kwavile unapenda sana kujipendekeza kwa wanaume, sitashangaa nikifahamu kwamba nawe ni mmoja wao!!!- haya ni maneno ya kina mama jikoni wewe sio mwanamke sijawahi kukujaribu sasa unayatoa wapi haya maneno mtoto wa kiume kama sio jinsia tofauti? hahahahahahaa
le Mutuz
Mshika pembe huku wengine wanakamua!!!- wewe upo off mimi ndio kazi yangu so tumekutana lets go, keep on coming boss
Wakati yale ni maneno ya akina mama matendo yako wewe ni ya mashoga!! Na kwavile unapenda sana kujipendekeza kwa wanaume, sitashangaa nikifahamu kwamba nawe ni mmoja wao!!!
Mshika pembe huku wengine wanakamua!!!