Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Zake ni kama zilikuwa binafsi sanaSwali gani hili
Kwani account za ITV na EATV zinaendeshea na nani baada ya Mengi kufa
Hapana alikua na wafanyakazi mbona ingawa mda mwingiii enzi za uhai alikua anapost yeye mwenyewe
OkHapana alikua na wafanyakazi mbona ingawa mda mwingiii enzi za uhai alikua anapost yeye mwenyewe
Watu watakua wanarudisha Madeni waliyokua wanamdai mwamba. Noah ipo wapiBaada ya msiba, yote yalitangazwa na uongozi wao.