Lugha za Watu jamani!!! Mtihani Huuthis family they're very lie.
swissme
Bwana lemutuz umekua ukijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii kua unaanzisha radio yako huko mkoani Morogoro na itaitwa Swahili Radio FM ambayo nafahamu ipo chini ya Swahili African Media Ltd iliyopo Dar.
Naomba utoe uthibitisho wa umiliki wako, yes! Sipendi mtu anaepotosha jamii na kupandia juu ya migongo ya wengine.
Nina ushahidi wa mmiliki wa radio iyo kua Bwana Davis Mosha na team yake na hata process zote za awali ikiwamo transimitter na mambo kama hayo amefanya Bwana Davis kupitia kijana wake Wilbroad.
Tusipotoshane?
Hata hvyo vipi ile TV show ilifiaga wapi?
Huyu jamaa watu washamfanya babu yao..Uzuri naye wala huwa hapanic..Akija maeneo kama haya anacheka tuHivi watu hamwezi kukaa mkafanya yenu mpaka mhangaike na Le Mutuz.
Hata akionyesha huo ushahidi, bado watu watakuja kusema amepewa tu bila kuchangia chochote.
Au kuna uwezekano watu wanatumwa na mtalaka wake kumchafua jamaa daily
Huyu jamaa watu washamfanya babu yao..Uzuri naye wala huwa hapanic..Akija maeneo kama haya anacheka tu
We mzee vituko utaacha lini! Jibu kwa ukamilifu hata kama ni majungu........ sioni la maana zaidi ya majungu majungu ......
Mabebezzzzzz wote wa bongo wake hahahahahaha ndio maana men hatumpend sijui mnampendea nn huyu mtu au pesa?Namuelewa sana Le mutuz..mzee wa mabeeebz..you know
Wewe jamaa kiswahili huwezi kuandika.this family they're very lie.
swissme
Wivu tu umewajaa.Mabebezzzzzz wote wa bongo wake hahahahahaha ndio maana men hatumpend sijui mnampendea nn huyu mtu au pesa?
DuuuUkweli ni huu radio ni ya Davis Mosha anamiliki share 99.7%` na akaamua kumpa mpambe wake ambaye ni lemutuz kwa ajili ya free publicity na jina la malecela japo yeye tu mwenyewe hajitambui kwamba angelitumia vizuri jina la malecela angekuwa tajiri bila ya kuwa na haja ya kupakatwa na kutekenywa na watoto wadogo kama kina Ridhiwani au Davis Mosha,Davis Mosha amempa Lemutuz nominal share ambayo ni 0.03 % ambayo kama mtaji wa kampuni ni bilion tatu basi thamani ya mtaji wa Lemutuz kwenye kampuni anayodai ni yake inakuwa shilling za kitanzania laki tatu tu ,sasa jamani hebu imagine mwenzako anatoa bilioni tatu halafu wewe unatoa laki tatu na bado unajiita mmiliki wa radio haha alitakiwa aseme yeye ni mfanyakazi wa swahili media ila kwa heshima Davis kampa hako kashare 0.03% ili ajione na yeye yumo tu haha na uzuri details zote za kampuni zikk Brela kila mtu anaruhusiwa kuona na hapa kwa Data hizi atakuja kupiga kelele na kucheka cheka na kumponda xwife wake lakini hatakuwa na hoja mbadala.
We aidha hesabu zinakusumbua au una chuki binafsi..Ukweli ni huu radio ni ya Davis Mosha anamiliki share 99.7%` na akaamua kumpa mpambe wake ambaye ni lemutuz kwa ajili ya free publicity na jina la malecela japo yeye tu mwenyewe hajitambui kwamba angelitumia vizuri jina la malecela angekuwa tajiri bila ya kuwa na haja ya kupakatwa na kutekenywa na watoto wadogo kama kina Ridhiwani au Davis Mosha,Davis Mosha amempa Lemutuz nominal share ambayo ni 0.03 % ambayo kama mtaji wa kampuni ni bilion tatu basi thamani ya mtaji wa Lemutuz kwenye kampuni anayodai ni yake inakuwa shilling za kitanzania laki tatu tu ,sasa jamani hebu imagine mwenzako anatoa bilioni tatu halafu wewe unatoa laki tatu na bado unajiita mmiliki wa radio haha alitakiwa aseme yeye ni mfanyakazi wa swahili media ila kwa heshima Davis kampa hako kashare 0.03% ili ajione na yeye yumo tu haha na uzuri details zote za kampuni zikk Brela kila mtu anaruhusiwa kuona na hapa kwa Data hizi atakuja kupiga kelele na kucheka cheka na kumponda xwife wake lakini hatakuwa na hoja mbadala.