Le mutuzi bado tunahitaji uwepo wako JF

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Habar wana JF

Katika pitapita zangu katika nyuzi za JF Nimekutana na ID ya le mutuzi ambayo ilikuwa active sana miaka ya nyuma.



Lakini sasa hayupo active sana Jf huwa anakujaga tu kuchungulia.

Mkuu kwasasa umekua marufu sana Kwenye social media hata mitaani.

unamambo ya hovyo sana unayafanya hasa ile video yako iliyovuja.

Cc W.J Malesela
 
JF skuiz imejaa Watoto ndio maana great thinkers wengi wapo passive kulikua na mawaziri kibao humu lakini skuiz ukimuona mwigulu humu kaja Kujibu tu tuhuma au kutetea PhD yake na majina yake akija yule Waziri wa afya jua kaja tetea wananchi wake wa kigamboni tubadilike members
 
lekokobanga ..
daaahh MzeE anavisa yule ..kama marehemu MzeE Sykes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…